Simba kupokwa point za Ndanda?

Tuseme Ndanda wamekurupuka hawajui kanuni hata kidogo
Kamati husika ije na majibu haraka kukata mzizi wa fitna
 

Mbona huko ulaya wachezaji hawaruhusiwi kucheza bila work permit? Tena hiki huwa kikwazo kikubwa!!!!
 
Ningependa zaidi watani zetu Simba FC wasipokonywe point ili upinzani uzidi kuwa mkali.
-Japo ni kosa, lakini nawaombea watani walimalize hili bila kupunguziwa point, natafurahi watani tukimbizane point uwanjani kwa uwezo wa kisoccer.
 
Mbona huko ulaya wachezaji hawaruhusiwi kucheza bila work permit? Tena hiki huwa kikwazo kikubwa!!!!
Jibu rahisi la swali lako ni Ulaya kanuni hiyo ipo husajili mchezaji mpaka awe na work permit. Hapa Bongo tunakurupuka tu. Hamna kanuni hiyo kwenye sheria zinazosimamia mpira nchini.
 
Hapo napata utata. Kipi kianze? Leseni ili apate permit au permit ili apate leseni?
Work permit ndio inafuata leseni. Huwezi kutoa leseni ya kuruhusu mchezaji acheze halafu ndio udai work permit wakati mchezaji umeshampa leseni.
 
Work permit ndio inafuata leseni. Huwezi kutoa leseni ya kuruhusu mchezaji acheze halafu ndio udai work permit wakati mchezaji umeshampa leseni.
NI kama vile kufaulu vipimo vya afya. Mchezaji anakuwa na kila kitu subject to the results of a medical checkup
 
ikifanyika hivyo itakuwa ni mojawapo ya fitina
 
Fisi anangojea mkono udondoke. Mpira umewashinda. Wenzako wapo jangwani wanafanya mazoezi ya kupiga magoti ili wachezaji walipwe mishahara.


Mmesahau suala la Kessy mlivyokuwa mna ng'ang'ania Yanga SC apokwe points za mechi ambazo Kessy kausika!!!!!

Au mmesahau?
[emoji23]
 

Mmesahau suala la Kessy mlivyokuwa mna ng'ang'ania Yanga SC apokwe points za mechi ambazo Kessy kausika!!!!!

Au mmesahau?
[emoji23]
Wamesahau
Huko kwa Kessy kulikuwa na kanuni lakini eti hili halina kanuni. Maadam kuna ITC na leseni basi mambo ya work permit haiwahusu.
We have a long way to go!
 
Tff wajaribu ujinga huo waone tunavyochukua pointi zte za yanga walizo mchezesha mchezaji wa simba hassan kesi
 
Ningependa zaidi watani zetu Simba FC wasipokonywe point ili upinzani uzidi kuwa mkali.
-Japo ni kosa, lakini nawaombea watani walimalize hili bila kupunguziwa point, natafurahi watani tukimbizane point uwanjani kwa uwezo wa kisoccer.


Watani huwa hawana moyo kama wato.... Wao hupenda miteremko mno..... Ndio maana wamekuwa wakipata shida sana kunyanyua makwapa.....


Kwenye Kesi ya Hassan Kessy walikuwa wanashinda kwa waganga wakiomba YANGA ipokwe alama... [emoji23]
 
ikifanyika hivyo itakuwa ni mojawapo ya fitina
Suala la Kessy kwa Yanga SC sio fitina....


Ila kwa upande wenu, mkiadhibiwa kwa kuenenda tofauti basi hiyo ni fitina..

Aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…