Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,296
- 18,027
- Thread starter
- #41
Tuseme Ndanda wamekurupuka hawajui kanuni hata kidogoTunapoendekeza ushabiki pasipo kujua taratibu, hapa naona kila mmoja anavutia kwake! kuna wale wanaoomba Simba wanyang'anywe points ili wawe kileleni na kuna wale wanaoona wako sahihi kutetea ili kuendelea kuongoza ligi lakini kwa maoni yangu sioni ni kwa namna gani Simba itapokwa points!
Acheni ushabiki ktk kufanya maamuzi ya msingi@
Kamati husika ije na majibu haraka kukata mzizi wa fitna