holoholo
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 1,859
- 2,986
Kwa taaluma yangu ya uchambuzi na kiimani, naiona simba kesho kutwa ikichapwa si chini ya goli mbili, wana safu nzuri ya ulinzi,viungo mahiri na washambuliaji hatari sana.
Kama tunavyojua Simba ina washambuliaji butu anza na Steven Dese Mukwala na Lionel Ateba huku viungo wao tegemezi ni Okajepher,Mzamiru,Ngoma na Debora,ambao ni wazuri dk15 tu za kwanza.
Huku walinzi wake wa pembeni wanapitika kirahsi. Nimemaliza.
Kama tunavyojua Simba ina washambuliaji butu anza na Steven Dese Mukwala na Lionel Ateba huku viungo wao tegemezi ni Okajepher,Mzamiru,Ngoma na Debora,ambao ni wazuri dk15 tu za kwanza.
Huku walinzi wake wa pembeni wanapitika kirahsi. Nimemaliza.