Kumfumaster97
JF-Expert Member
- Sep 18, 2024
- 354
- 372
Mlifufukia wapi ninyi baada ya miaka 25Mashindano ya akina mama ni aibu team kama Simba kushiriki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mlifufukia wapi ninyi baada ya miaka 25Mashindano ya akina mama ni aibu team kama Simba kushiriki
Usitambe na mashindano ya akina mamaMlifufukia wapi ninyi baada ya miaka 25
Na wewe ulipita humo humo kwa akina na mama na uliibukia huko huko baada ya 25yrs sasa unakuja kuharisha hapa kiujumla hakuna jipya mnachomzidi Simba 📌📌📌📌Usitambe na mashindano ya akina mama
Tate umemalizaSiku zote muombee adui yako njaa.
Sawa. Ila LAZIMA uujue ukweli kwamba Simba ipo Algeria ili kuiondolea aibu Tanzania itakayoletwa na Yanga kufungwa leo!Kwa taaluma yangu ya uchambuzi na kiimani, naiona simba kesho kutwa ikichapwa si chini ya goli tatu, wana safu nzuri ya ulinzi,viungo mahiri na washambuliaji hatari sana.
Kama tunavyojua Simba ina washambuliaji butu anza na Steven Dese Mukwala na Lionel Ateba huku viungo wao tegemezi ni Okajepher,Mzamiru,Ngoma na Debora,ambao ni wazuri dk15 tu za kwanza.
Huku walinzi wake wa pembeni wanapitika kirahsi. Nimemaliza.
Tulia na Leo wakushenyenteeMashindano ya akina mama ni aibu team kama Simba kushiriki
Ahaa! Kumbe ni madamkimsingi haujui jinsia yangu!
Wanakalia 2+Kwa taaluma yangu ya uchambuzi na kiimani, naiona simba kesho kutwa ikichapwa si chini ya goli tatu, wana safu nzuri ya ulinzi,viungo mahiri na washambuliaji hatari sana.
Kama tunavyojua Simba ina washambuliaji butu anza na Steven Dese Mukwala na Lionel Ateba huku viungo wao tegemezi ni Okajepher,Mzamiru,Ngoma na Debora,ambao ni wazuri dk15 tu za kwanza.
Huku walinzi wake wa pembeni wanapitika kirahsi. Nimemaliza.
Mzee, upo tayari kutimiza ahadi yako? Muache uropokaji, hamkomi tu? Ahadi za kishogashoga hazitakiwi humuuzi unatunzwa, simba wasipofungwa hizo goli tatu basi niliwe tigo