Simba kushindana na Yanga msimu huu ni ngumu sana

De-zerbi

Member
Joined
Mar 7, 2024
Posts
82
Reaction score
103
Huu ndo ukweli mchungu kwa wanasimba ni ngumu sana kushinda na Yanga kwenye mbio za ubingwa wa nbc premier league

Nafasi ipo ila ni ngumu kutoka na aina ya mpinzani unayeshindana naye ambaye ni Yanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…