Simba kutangaza ubingwa Mbeya leo...sio Singida

Simba kutangaza ubingwa Mbeya leo...sio Singida

CK Allan

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2013
Posts
2,781
Reaction score
6,139
wale wapenzi, wanachama na mashabiki wa simba Leo hii tunatangaza ubingwa tukiwa tumekaa kwenye makochi ..
kwani yanga lazima afungwe au atoe draw na Prison...
na hivyo hawezi kufikisha points 65 alizo nazo Simba leo....


#Ubingwa_wa_,$imba_,upo_Mbeya_sio_,Singida..

nimeweka kumbu kumbu sawa tu...
Hadi 2030
 
Simba mwaka wetu huu. Jamaaa wamerudi na gunia la misumari kutoka Algeria. Prison hawawezi kuwaacha vyura wapige kelele pale jiji la Sugu.

Kwanza leo kuna sherehe ya Sugu kutoka jela na prison ni lazima waifunge yanga ili kuhanikiza Rais Sugu kutoka Jela.
 
Kikosi cha Yanga kitakachoanza dhidi ya Tanzania Prisons, mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara

1. Beno Kakolanya
2. Juma Abdul
3. Emmanuel Martin
4. Abdallah Shaibu
5. Pato Ngonyani
6. Maka Edward
7. Paul Godfrey
8. Thaban Kamusoko
9. Yohana Mkomola
10. Matheo Anthony
11. Baruan Akilimali

Kikosi cha akiba

12. Yusuph Suleiman
13. Amis Tambwe
Duh waaakiba wawili.
Hakuna kipa wa Akiba
Baada ya mechi kwisha nategemea Uongozi wa Yanga kutangaza kujiuzuru tu.
 
wale wapenzi, wanachama na mashabiki wa simba Leo hii tunatangaza ubingwa tukiwa tumekaa kwenye makochi ..
kwani yanga lazima afungwe au atoe draw na Prison...
na hivyo hawezi kufikisha points 65 alizo nazo Simba leo....


#Ubingwa_wa_,$imba_,upo_Mbeya_sio_,Singida..

nimeweka kumbu kumbu sawa tu...
Hadi 2030
Uko sahihi mkuu.
 
Kikosi cha Yanga kitakachoanza dhidi ya Tanzania Prisons, mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara

1. Beno Kakolanya
2. Juma Abdul
3. Emmanuel Martin
4. Abdallah Shaibu
5. Pato Ngonyani
6. Maka Edward
7. Paul Godfrey
8. Thaban Kamusoko
9. Yohana Mkomola
10. Matheo Anthony
11. Baruan Akilimali

Kikosi cha akiba

12. Yusuph Suleiman
13. Amis Tambwe
Duh waaakiba wawili.
Hakuna kipa wa Akiba
Baada ya mechi kwisha nategemea Uongozi wa Yanga kutangaza kujiuzuru tu.
[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
Wachezaji wanazidi kugoma kucheza maskini kisa mafao yao wakiendelea hivi ata match inayofata ya shirikisho watafungwa nyumbani maana wachezaji hawana hari wala hamasa ya mchezo, hawa wanaocheza leo ni wale ambao hawachezi mara kwa mara hivo ata madai yao ni madogo
 
wale wapenzi, wanachama na mashabiki wa simba Leo hii tunatangaza ubingwa tukiwa tumekaa kwenye makochi ..
kwani yanga lazima afungwe au atoe draw na Prison...
na hivyo hawezi kufikisha points 65 alizo nazo Simba leo....


#Ubingwa_wa_,$imba_,upo_Mbeya_sio_,Singida..

nimeweka kumbu kumbu sawa tu...
Hadi 2030
Nilikuwa nashangaa kwa nini kila mtu kakomaa na mechi ya singida tu, hii ya yanga akifungwa au kudroo ndio kazi imeishia hapo.
Tunachukulia ubingwa huku miguu ikiwa mezani, mikono kisogoni na makalio kochini huku tukipata moja baridi.
 
Wachezaji wanazidi kugoma kucheza maskini kisa mafao yao wakiendelea hivi ata match inayofata ya shirikisho watafungwa nyumbani maana wachezaji hawana hari wala hamasa ya mchezo, hawa wanaocheza leo ni wale ambao hawachezi mara kwa mara hivo ata madai yao ni madogo
Kuna wanao jifunza Kiswahili kupitia JF, si vibaya nikiweka sawa,... ni ARI na siyo. HARI.
 
hongera Mtabiri yaan ile kweny kochi tu ubingwa huu hapa!!! ya mbeya yanafurahisha!! [HASHTAG]#ssc[/HASHTAG]
 
PAMOJA NA TIMU YA WANAWAKE KUHITAJI POINT MOJA TU ILI WANCHUKUE KOMBE LA BATI,,,BADO WANAUME WAMEWADHARAU KWA KUTOONA UMUHIMU WA MECHI HIYO...... WAKAPELEKA KIKOSI CHA TATU...... Hongera YANGA kwa kuwaweza MBUMBUMBU.
 
Back
Top Bottom