Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Hii itaonekana tumeiga slogan ya Rwanda mkuu.
Wizara itoe pesa ya kutosha. Hiyo promo ni kubwa sana ukizingatia sisi kama nchi ni matajiri na tunatembea vifua mbele.
Nyani fc wanatakuja na visit dimbwili la jangwani
Ndugu zetu hawa lazima nao wafanya ka sisiMmeanza kuwachokoza
Ndugu zetu hawa lazima nao wafanya ka sisi
Hii ndo tofauti ya Wananchi na wenye Nchi
Ikiwezekana Uto waweke kwenye jezi zao Visit Chura ili wachina wakiona wajua kitoweo kipo Jangwani [emoji1787]
Hawa Manyani hayajambo kwenye copy and past, Mabingwa wanafanya media tour, wao wakaja na media day , cha ajabu sasa badala ya Wachezaji waende kujifunza jinsi media zinavyofanya kazi, wao wanawaita waandishi wawapige Picha Wachezaji wao wanapofanya mazoezi na kuogelea.Wazee wa kucopy na kupaste
Hapana bhn sisi ndiyo tulianza kabla ya Rwanda.Yah ni kweli, lakini kuiga jambo zuri sio vibaya! Wenzetu Rwanda wamefanikiwa sana kwenye hilo, walianza kuidhamini Arsenal baada ya mafanikio sasa wameiongeza na PSG.
Ila tofauti ni kwamba Rwanda wanamwaga pesa kwenye zile klabu huku kwetu serikali ya mitano tena hawatoi pesa!
Hapana bhn sisi ndiyo tulianza kabla ya Rwanda.
Kuna udhamini unafanyika bure kipindi hiki cha biashara ni matangazo?Kuwa ni bure sawa, ingekuwa kwa kulipia ingekuwa ni hasara kwa nchi.