Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Huu ndio ujumbe uliopo huko Instagram, ambapo Mabingwa wa Nchi, Simba Sports Club kwa makubaliano maalum na Wizara ya Utalii, watavaa jezi zao zenye maandishi, "Visit Tanzania" lengo ni kutangaza kimataifa na kuwavutia wageni mbalimbali kuja kufanya utalii nchini.
Ikumbukwe wadhamini wa Simba, kampuni ya kamari itabaki palepale kama wadhamini wakuu wa klabu. Ila Simba hawatowatumia kwenye mechi za Klabu bingwa Afrika kutokana na sheria za kamari kubanwa na CAF.
Unaonaje mpango huu wa Simba? Big Yes or Big No?
Ikumbukwe wadhamini wa Simba, kampuni ya kamari itabaki palepale kama wadhamini wakuu wa klabu. Ila Simba hawatowatumia kwenye mechi za Klabu bingwa Afrika kutokana na sheria za kamari kubanwa na CAF.
Unaonaje mpango huu wa Simba? Big Yes or Big No?