timu tunazoweza kupangwa nazo ni TP mazembe E.S.T ya tunisia ama Mamelodi ya South afica maana wote hao ni vinara wa makundi yaoMwaka wa Simba kula hela za CAF ili hapo tusipangwe tu na hao waarabu wa kaskazini au mazembe bora huko bondeni
Kameze wembe Uchungu unaokusumbua peleka leba ukajifungue.
Na wewe kwenye mgao unahusika?Huu ndio mchanganuo wa prizes mpya za CAF kuanzia 2017-2020 kwa CAF Champions. Baada ya kukunja mabilioni kwenye hatua ya makundi,sasa Mnyama wenu tumekunja tena USD 650,000 sawa na takribani TZS. 1,560,000,000
Champions: US$ 2.5 million
Runners-up: US$ 1.25 million
Semi-finalists: US$ 800,000
Quarter-finalists: US$ 650,000
3rd in group stage: US$ 550,000
4th in group stage: US$ 550,000
Mungu atupe nini tena? Au robo tupewe Mamelod Sundown tukakunje Bilion 2 kasoro za nusu Fainali?
Source Prize money for CAF competitions effective 2017
Nahisi chuki na husda .SIMBA sasa ni kampuni akinunua share itamhusu.Na wewe kwenye mgao unahusika?
Atapata mgao wa robo final?Nahisi chuki na husda .SIMBA sasa ni kampuni akinunua share itamhusu.
Kwani hizo pesa zinakwenda wapi?Atapata mgao wa robo final?
Huyo ni mo?Kwani hizo pesa zinakwenda wapi?
Tutawapa TP MazembeNatamani tupewe mamelod au horoya, hawa tunawamudu vizuri sana.
.....
Kwa ujinga wako unafikiri pesa anachukua Mo???Huyo ni mo?
Wanachukua mashabiki wa simbaKwa ujinga wako unafikiri pesa anachukua Mo???
Kwan zile za usajili wa okwi zilikwenda wapi?Kwani hizo pesa zinakwenda wapi?
Wewe kweli POPOMA. Yeyote mwanasimba atakayenunua hisa pesa hizi zinamhusu kwani ni mojawapo ya mapato. Au hujui hisa ni nini?Wanachukua mashabiki wa simba
Popoma baba yako mbona huelewi wa chizi fresh nimekwambia wanachukua mashabiki wa simba unaandika nini sasa hapoWewe kweli POPOMA. Yeyote mwanasimba atakayenunua hisa pesa hizi zinamhusu kwani ni mojawapo ya mapato. Au hujui hisa ni nini?
Zilikwenda zinapokwenda hela za michango ya bakuli za Yanga.Kwan zile za usajili wa okwi zilikwenda wapi?
Uchungu wa wanapaluhengo na Vita peleka leba.Popoma baba yako mbona huelewi wa chizi fresh nimekwambia wanachukua mashabiki wa simba unaandika nini sasa hapo
Akili yako kisoda bongo sina timuUchungu wa wanapaluhengo na Vita peleka leba.
We jamaa wewe kuna watu utawafanya wachungulie tu na kisha kurudi kwenye mabwawa walimojificha.!
!
Mungu Akupe Lipuli