Ila hili swala la kudelay sub nalo ni keroKocha ni mpuuzi sana asipoondolewa hali itakuwa mbaya zaidi.
Anachelewa kufanya sub siku zote.Banda yuko wapi leo?
Wachezaji ndio hao akina Morrison na Chama hawataki.Utamletea wengine atawakataa...sasa huu si upumbavu
Hela kaka helaHivi kwa ukubwa wa Simba inakuaje shughuli kupata Quality Players?
Katika list yako hawa watu watoe;Sasa tununue quality players.
Kibu, mzamiru, gadiel, kanoute, lwanga, bwalya, mugalu hawana hadhi ya kucheza Simba
Nyoni, Wawa, kagere, bocco, onyango wameshazeeka
Sakho, banda utoto umewajaa
Inaweza kupambana na Al hilaly, Wydad, Mazembe ktk dau la usajili wa mchezaji sokoni? Na awe zaidi ya mmojaHivi kwa ukubwa wa Simba inakuaje shughuli kupata Quality Players?
Sasa tununue quality players.
Kibu, mzamiru, gadiel, kanoute, lwanga, bwalya, mugalu hawana hadhi ya kucheza Simba
Nyoni, Wawa, kagere, bocco, onyango wameshazeeka
Sakho, banda utoto umewajaa
Sasa tununue quality players.
Kibu, mzamiru, gadiel, kanoute, lwanga, bwalya, mugalu hawana hadhi ya kucheza Simba
Nyoni, Wawa, kagere, bocco, onyango wameshazeeka
Sakho, banda utoto umewajaa
kwaiyo mna kipasua kikosi chore[emoji15][emoji15]Sasa tununue quality players.
Kibu, mzamiru, gadiel, kanoute, lwanga, bwalya, mugalu hawana hadhi ya kucheza Simba
Nyoni, Wawa, kagere, bocco, onyango wameshazeeka
Sakho, banda utoto umewajaa
Sawa,,tuambie ungekua wewe ni kocha ungefanya na umekuta kikosi Cha hovyo?Kocha kazingua bwana toka mechi ya pirates. Wachezaji wanawekza kuwa quality mbovu pia hatukatai ila tactical acumen ya jamaa hapana kabisa
Kwa wachezaji wakitanzania tulionao nchini hatuna budi kuwavumilia kina kibu,bocco na Mzamiru hasa ukizingatia na international experience wameshaanza kugain wakiwa na simba, ila kwa international players wachezaji wenye hadhi ya kucheza simba pale kwasasa ni inonga, Chama na Morrison,hao wengine wote waonyeshwe mlango wa kutokea...Sasa tununue quality players.
Kibu, mzamiru, gadiel, kanoute, lwanga, bwalya, mugalu hawana hadhi ya kucheza Simba
Nyoni, Wawa, kagere, bocco, onyango wameshazeeka
Sakho, banda utoto umewajaa
Na hawa pia Mwinuke, Mwenda , Mhilu ni wa kawaida sanaSasa tununue quality players.
Kibu, mzamiru, gadiel, kanoute, lwanga, bwalya, mugalu hawana hadhi ya kucheza Simba
Nyoni, Wawa, kagere, bocco, onyango wameshazeeka
Sakho, banda utoto umewajaa
Hapo chakufanya ni kuwambia boss...this squad is shit qe cant win anything with these players...plz put more moneySawa,,tuambie ungekua wewe ni kocha ungefanya na umekuta kikosi Cha hovyo?
Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
Kula tanoYanga na yenyewe iko hoi sana!! Hiyo simba ya leo haikuwa ya kufunga goli moja tu!! Yanga hana cha kujivunia!! Angekuwepo Manula hilo shuti angepangua bila shida! Na kwenye matuta angezuia mawili!! Kama ni ushindi, yanga ilishinda siku Manula alipoumia!!
Kwa wachezaji hawa hawa!!! Hata tumlete kocha wa Chelsea au Mancity, hatufurukuti. Hatuna forward kabisaIla sasa naona ni muda wa kumpa matola timu...tuachane na hizi porojo za makocha wakigeni. Kama tunaleta kocha wakigeni basi tulete wa ukweli na boss aache ujinga tulipe hela za maaa sio vijisenti
Wee umlete kocha wa maana kwa hela gani aliyonayo muddy bwana.Kwa wachezaji hawa hawa!!! hata tumlete kocha wa Chelsea au Mancity, hatufurukuti. Hatuna forward kabisa
Benchi la ufundi, wachezaji ni butuInawezekana coach Hana mahusiano mazuri na wachezaji wake pia mbinu zake sio nzuri .Yote kwa yote matokeo yanaumiza Sana.