Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Ila hili swala la kudelay sub nalo ni keroKocha ni mpuuzi sana asipoondolewa hali itakuwa mbaya zaidi.
Anachelewa kufanya sub siku zote.Banda yuko wapi leo?
Wachezaji ndio hao akina Morrison na Chama hawataki.Utamletea wengine atawakataa...sasa huu si upumbavu