Simba kutolewa Nusu Fainali ya FA Cup, MO Awaka

Simba kutolewa Nusu Fainali ya FA Cup, MO Awaka

Hivi kwa ukubwa wa Simba inakuaje shughuli kupata Quality Players?
Kiongozi kwani show room za Prado huzioni? Mbona mnaishia kwenye IST na GX 110?

Au unadhani yule Adebayor amekataa kusajiliwa na Simba?

Hata huko AS Vita tulipokimbilia Sasa hivi ni vile tu wale madon wa Kule Wana mgogoro wa kiuchumi lakini ukweli Bado sana kuwafikia uwekezaji kama wa RS Berkane mpaka mchezaji kama Chama anawekwa benchi na kocha anamtema Hana nafasi.
 
Kocha ni mpuuzi sana asipoondolewa hali itakuwa mbaya zaidi.

Anachelewa kufanya sub siku zote.Banda yuko wapi leo?
Wachezaji ndio hao akina Morrison na Chama hawataki.Utamletea wengine atawakataa...sasa huu si upumbavu
so bro unaona banda ni bonge la mchezajiiii ehe..?
 
Simba ingeachana na matola pia ingekua jambo la kheri haiwezekani kila kocha anaekuja msaidizi wake ni Matola matola mswahili mwenzetu yule sisi waswahili tunajuana majungu ndyo tume Qualify kuna mda wachezaji wanacheza kama vile wamefungwa matofali miguuni inawezakua kuna tabaka kwenye timu na chanzo ni majungu ya matola makocha wawe wanakuja na wasaidizi wao ndyo vilabu vikubwa vinafanya ivyo
Matola anajua mazingira ya timu, pamoja na tabia za wachezaji wa kibongo...
 
Ktk list yako hawa watu watoe;

Kibu atakuja kuwa Bora msimu ujao,kumbuka alivyoanza alikuwa mbaya zaidi ya hapa alipo leo..now ameimprove sn though kuna muda anachelewa kufanya maamuzi,atakuja kumrithi boko

Banda ni mzuri,anajua kupunguza,anapiga pass sahihi,Kwa wakati na maamuzi yake ni ya wakati sahihi na anakuwa hatari akifika lango la mpinzani,anahitaji mazoezi ya kumwongezea stamina awe km alivyo Kelvin John wa sasa

Sakho ana utoto na kucheza na jukwaa km mayele..alichozidiwa na mayele ni mabao na ubora lkn Tabia zao za kucheza na jukwaa zinafanana.Pia anahitaji mchezaji mwenye Kasi Aina ya konde boy ili kuweka intensity kubwa pale mbele..

Timu inaanza nyuma vizuri lkn ukifika mbele inakuwa butu haina maajabu (kumbuka mechi ya wale waivory coast dhid ya Simba kule ugenini ktk shirikisho) timu inacheza vizuri,unapiga pasi na kupossess lkn Mpira ukifika mbele hauna maajabu wala ubunifu..
ACHA KUMFANANISHA MAYELE NA VITU VYA KIJINGA.
KUWA MSTAARAB NDUGU YANGU
 
kwa wachezaji wakitanzania tulionao nchini hatuna budi kuwavumilia kina kibu,bocco na mzamiru hasa ukizingatia na international experience wameshaanza kugain wakiwa na simba,ila kwa international players wachezaji wenye hadhi yakucheza simba pale kwasasa ni inonga,chama na morrison,hao wengine wote waonyeshwe mlango wakutokea...hata onyango wasimpe mkataba mpya tunahitaji new faces with quality...hawa akina banda,sakho hakuna hata mmoja hapo anafikia quality ya morrison watupishe wote...kanoute injury kila mara na hana consistency atupishe kwanza....simba ni brand kubwa africa tunahitaji quality players
HIVI MAPATO NA MATUMIZI YA SIMBA KWA MWAKA UNAYAJUA.?
Timu zetu ni masikini kwahiyo usajili unaendana na hali ya uchumi.
 
HIVI MAPATO NA MATUMIZI YA SIMBA KWA MWAKA UNAYAJUA.?
Timu zetu ni masikini kwahiyo usajili unaendana na hali ya uchumi.
tatizo sio kuwa na bajeti kubwa tatizo ni kutokuwa na scouting nzuri ya wachezaji, mchezaji kama inongo na chama ni top players lakini simba iliwapata wakiwa mikataba yao ipo mwishoni,hawakuhitaji kutoa fedha nyingi sana kuwapata hao wachezaji...pia miquisson hakuna alietarajia atatua simba lakini walimpata kwa gharama ndogo kulinganisha na quality aliyonayo...timu kama arsenal toka enzi za arsene wenger mpaka leo kwa bajeti yao yakuungaunga ingekuwa timu yakupigania isishuke daraja tu kila mwaka ila kinachowaokoa arsenal wanascouting nzuri sana inayosaidia kupata wachezaji wazuri kwa bei ndogo....tatizo ni pua skauting kama kazi yausajili imewashimda waajili technical director
 

MO Awaka​

“ Hongereni watani! This has been the worst season for Simba in last 5 years. The board needs to make tough decisions on the way forward. We need to overhaul our team and strategy and go back to the drawing board. We lacked motivation, passion and hunger to win trophies this year.”

Sijaona alipowaka, labda kiingereza kimenipiga chenga
 
Bila bajeti kubwa, scouting inasaidia nini?
bro kama huna bajeti kubwa scouting nzuri inasaidia kupunguza gharama za usajili kwakutafuta wachezaji wazuri talented wasiojulikana kwa bei ya bure ili ubane matumizi na uweze kuiendesha timu vizuri nje na ndani ya uwanja kwa bajeti ndogo iliyopo kwenye club mfano mzuri ni timu kama ajax, dortmund au rb salzburb.....timu zenye bajeti kubwa kama psg,man city au al ahly mfano haziangaiki sana na scouting sababu zinaela zakutosha zinapick tu top players
 
Kocha ni mpuuzi sana asipoondolewa hali itakuwa mbaya zaidi.

Anachelewa kufanya sub siku zote.Banda yuko wapi leo?
Wachezaji ndio hao akina Morrison na Chama hawataki.Utamletea wengine atawakataa...sasa huu si upumbavu
Sijui kwanini anamtegemea hivyo Mugalu wakati ni Mzito sana, aheri hata ya Kagere angalau.
 
tatizo sio kuwa na bajeti kubwa tatizo ni kutokuwa na scouting nzuri ya wachezaji, mchezaji kama inongo na chama ni top players lakini simba iliwapata wakiwa mikataba yao ipo mwishoni,hawakuhitaji kutoa fedha nyingi sana kuwapata hao wachezaji...pia miquisson hakuna alietarajia atatua simba lakini walimpata kwa gharama ndogo kulinganisha na quality aliyonayo...timu kama arsenal toka enzi za arsene wenger mpaka leo kwa bajeti yao yakuungaunga ingekuwa timu yakupigania isishuke daraja tu kila mwaka ila kinachowaokoa arsenal wanascouting nzuri sana inayosaidia kupata wachezaji wazuri kwa bei ndogo....tatizo ni pua skauting kama kazi yausajili imewashimda waajili technical director
Wachezaji wote uliowataja ni wazuri kwa Simba lakni sio wazuri kiafrika hususani kimashindano ya Caf.
Waliifikisha wapi Simba.?
 
tatizo sio kuwa na bajeti kubwa tatizo ni kutokuwa na scouting nzuri ya wachezaji, mchezaji kama inongo na chama ni top players lakini simba iliwapata wakiwa mikataba yao ipo mwishoni,hawakuhitaji kutoa fedha nyingi sana kuwapata hao wachezaji...pia miquisson hakuna alietarajia atatua simba lakini walimpata kwa gharama ndogo kulinganisha na quality aliyonayo...timu kama arsenal toka enzi za arsene wenger mpaka leo kwa bajeti yao yakuungaunga ingekuwa timu yakupigania isishuke daraja tu kila mwaka ila kinachowaokoa arsenal wanascouting nzuri sana inayosaidia kupata wachezaji wazuri kwa bei ndogo....tatizo ni pua skauting kama kazi yausajili imewashimda waajili technical director
Umenena vyema. Timu zetu zinasubiri mchezaji awasumbue uwanjani au awafunge ndio utaona kurwa na doto wa kariakoo wananza kupigana vikumbo. Wakati ni suala la kuwa tu na watu wawili/watatu wenye uelewa wa mpira kupewa kazi ya kufuatilia ligi tu za hapa Afrika Mashariki na Kati au hata Afrika nzima kisha wakimuona mchezaji anawafaa wamfuatilie kwa ukaribu zaidi basi. Tena wachezaji wa kuwapata kwa mtindo huo hata "signing fee" inakuwa ndogo sana tofauti na mchezaji huyo huyo aking'ara baada ya kukutana na hao vigogo. Wanashindwa hata na viongozi wa zamani ambao wakimuona mchezaji mzuri mkoani walikuwa wanaujulisha uongozi wa Simba/Yanga fasta na ikiwezekana walikuwa wanachingashana nauli wanampa mchezaji anaenda Dar.
 
Back
Top Bottom