Simba kutoshiriki michuano ya kimataifa msimu ujao

Simba kutoshiriki michuano ya kimataifa msimu ujao

Kwahiyo husemi tena kwa mama ikiwa SIMBA Hatoshiriki klab bingwa next czon?
 
Kuna kila dalili Yanga akachukua ubingwa msimu huu, kuna uwezekano mkubwa Simba akatolewa nusu fainali kwenye FA. Hii inaashiria kuwa msimu ujao Simba hawatashiriki michuano yoyote ya Kimataifa, hii itawapa muda waweze kujenga upya Kikosi chao ambacho kimejaa wachezaji wenye umri mkubwa kama Kapombe, Mkude, Onyango, Bocco, Wawa, Kagere, Chama na wengine.
Kachunge ng'ombe wa mmeo Mayele!!!
 
Kuna kila dalili Yanga akachukua ubingwa msimu huu, kuna uwezekano mkubwa Simba akatolewa nusu fainali kwenye FA. Hii inaashiria kuwa msimu ujao Simba hawatashiriki michuano yoyote ya Kimataifa, hii itawapa muda waweze kujenga upya Kikosi chao ambacho kimejaa wachezaji wenye umri mkubwa kama Kapombe, Mkude, Onyango, Bocco, Wawa, Kagere, Chama na wengine.
Ikitokea hivyo itakuwa pigo kubwa kwa taifa maana watakaoiwakilisha nchi kama kawaida watatolewa raundi ya awali (sio ya kwanza, ya awali)
 
Kuna kila dalili Yanga akachukua ubingwa msimu huu, kuna uwezekano mkubwa Simba akatolewa nusu fainali kwenye FA. Hii inaashiria kuwa msimu ujao Simba hawatashiriki michuano yoyote ya Kimataifa, hii itawapa muda waweze kujenga upya Kikosi chao ambacho kimejaa wachezaji wenye umri mkubwa kama Kapombe, Mkude, Onyango, Bocco, Wawa, Kagere, Chama na wengine.
Ramli/Ndoto
 
Kuna kila dalili Yanga akachukua ubingwa msimu huu, kuna uwezekano mkubwa Simba akatolewa nusu fainali kwenye FA. Hii inaashiria kuwa msimu ujao Simba hawatashiriki michuano yoyote ya Kimataifa, hii itawapa muda waweze kujenga upya Kikosi chao ambacho kimejaa wachezaji wenye umri mkubwa kama Kapombe, Mkude, Onyango, Bocco, Wawa, Kagere, Chama na wengine.
Kama hujui Ni akili kuuliza. Hujui chochote jinsi hizo nafasi zinavyopatikana.
 
Kuna kila dalili Yanga akachukua ubingwa msimu huu, kuna uwezekano mkubwa Simba akatolewa nusu fainali kwenye FA. Hii inaashiria kuwa msimu ujao Simba hawatashiriki michuano yoyote ya Kimataifa, hii itawapa muda waweze kujenga upya Kikosi chao ambacho kimejaa wachezaji wenye umri mkubwa kama Kapombe, Mkude, Onyango, Bocco, Wawa, Kagere, Chama na wengine.
Kwan mwananchi unateseka ukiwa wapi ,Simba hata Kama hajachukua kombe la ligikuu kimataifa lazima tu unataka kunambia yanga wana uwezo wa kuchukua makombe yote ligi na FA
 
Tatizo lenu hata mwende hamfiki hata preliminary
 
dah!,mtani unayumba sana.kwa mashabiki wote wa Uto huwa nakitegemea wewe tu ndo angalau huwa unajitahidi.

Simba akitolewa nusu fainali atakua na zaidi ya point 30.5 point ambazo zitapeleka timu nne kimataifa.
ina maana hata kabla ya kujulikana bingwa wa msimu huu ligi ya NBC tayari Simba atakua keshawapeleka kimataifa nyinyi Uto na wenzenu wengine wawili.
sijui umeelewa?
Mnnnh Ati nusu funali, Soma uzuri kasema nusu fainali gani, amesema nusu fainali ya FA yaani azam cup na sio ya confederation, someni kwanza muelewe kilicho andikwa,
 
Back
Top Bottom