Nionavyo mimi na kwa mpira waliounyesha simba jana. Naona hakuna timu itakayomzuia simba kubeba kombe la champions league. Sababu zipo mbili
1. Simba wamecheza na kuwafunga al ahly ambao ni mabingwa wa historia na walicheza fainali pia mwaka jana
2. Wamecheza na kuwafunga AS Vita ambao mwaka jana walifika fainali kombe la shirikisho mwaka jana.
Sent using Jamii Forums mobile app
1. Simba wamecheza na kuwafunga al ahly ambao ni mabingwa wa historia na walicheza fainali pia mwaka jana
2. Wamecheza na kuwafunga AS Vita ambao mwaka jana walifika fainali kombe la shirikisho mwaka jana.
Sent using Jamii Forums mobile app