Naona umeumia sana. Ila hayo yalikuwa maoni yangu maana mnyama huwa hatabiri leo anawinda kwa staili hii kesho kwa staili nyingineHizo ndizo IQ zenu mnapumbazwa na ushindi mliokuwa hamuutarajii acha upuuzi ww kwa kipi simba ilichonacho hadi kufika final pungazeze kweli. 😀😀
Mmmh mkuu stage tunayoingia KO ni balaa yaani hapa mtaji ni magoli mengi ksb ili tusonge mbele ni aggregate so nasikia ila sina hakika tunaanzia home tunamaliza ugenini balaa lipo, kikubwa tupewe weusi wenzetu tunaweza furukuta but all in all mpira una matokeo ya ajabu !Nionavyo mimi na kwa mpira waliounyesha simba jana. Naona hakuna timu itakayomzuia simba kubeba kombe la champions league. Sababu zipo mbili
1. Simba wamecheza na kuwafunga al ahly ambao ni mabingwa wa historia na walicheza fainali pia mwaka jana
2. Wamecheza na kuwafunga AS Vita ambao mwaka jana walifika fainali kombe la shirikisho mwaka jana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa ni mtoano magoli mengi yanatakiwa kushinda si ligi tena,simba iwe makini akipigwa hamsa ugenini home akishinda moja au mbili out, na anapangwa na timu zilizoongoza makundiHakuna kinachoshindikana. Ikiwa timu itafokasi kwenye kutafuta matokeo. Mfano Enyimba fc mwaka 2003 2004 2005 nani alitegemea wangetwaa ubingwa na walikua wageni? Nakumbuka kweye hatua ya makundi walinyooshwa hamsa na ismailia na wakawa wanapoteza mechi ugenini. Ila wakatumia uwanja wao wa nyumbani vizuri. Lakini walipofika hatua ya mtoano walibadilika kabisa mpaka wakabeba ndoo.
Simba tunapewa timu moja wapo kati ya hizi, Wydad Casablanca, TP mazembe au Esperance de tunis.Nusu tunaweza kufika tukipewa Horoya au Mamelod ila ubingwa mkuu tusubiri mwakani
Bora tumpate mazembe huyu kidogo tunaweza kummudu hata kama tutapoteza.Simba ilimaliza nafasi ya 2... na timu zilizo maliza nafasi ya kwanza kwenye makundi mengine ambazo zina nafasi kubwa ya kucheza na simba ni tp mazembe...esperance... na wydad casablanca.... shughuli pevu
Sent using Jamii Forums mobile app
Simba ilimaliza nafasi ya 2... na timu zilizo maliza nafasi ya kwanza kwenye makundi mengine ambazo zina nafasi kubwa ya kucheza na simba ni tp mazembe...esperance... na wydad casablanca.... shughuli pevu
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona povu mzee baba...lipuli washawatia jana wametatua marinda..tulia uugulie maumivuHizo ndizo IQ zenu mnapumbazwa na ushindi mliokuwa hamuutarajii acha upuuzi ww kwa kipi simba ilichonacho hadi kufika final pungazeze kweli. 😀😀