Vipi kule south nasikia siku hizi ni mwendo wa wiki sio hamsa tena hahahahahahahahahaYANGA wamepiga Kambi hapa SUA Leo wanavuna viaz vitamu. Asante zahera kwa uzaelendo kwa nchi yetu kuelekea uchumi wa kati....YANGA wameiva Sasa kwenye tasnia ya kilimo maana soka limewashinda😂😂😂😂
YANGA a.k.a kwasukwasu FC
Sijaona tofauti hapo zaidi ya mavazi tu ya watu walio kwenye picha
Huwezi kuona kwa macho ya kawaida,vaa miwaniSijaona tofauti hapo zaidi ya mavazi tu ya watu walio kwenye picha
Hahaha wiki 8 ndio mda wa Kambi yetu huko sauz, vip nyie huko shambani mna maliza lin kuvuna mkuu....Vipi kule south nasikia siku hizi ni mwendo wa wiki sio hamsa tena hahahahahahahahaha
Hii ni Moja ya faraja tuliyo nayo kwa Sasa ss Vyura FC . Mlevi mmoja alisikika akisema....Maeneo wanayofanyia mazoezi yanafanana tu sasa sijui walio sauz wanafaidika na nini. Viwanja vya Moro na kule wanapofanyia tizi mbumbumbu, Tundu, Mtumbwi,Mikia FC vinaonekana hamna tofauti