Simba kuweni makini na drones wakati wa mazoezi yenu Casablanca

Simba kuweni makini na drones wakati wa mazoezi yenu Casablanca

Nawapongeza Simba kwa kwenda mapema huko Casablanca kuzoea hali ya hewa hasa ya majira ya jioni ila faida hiyo ya kwenda mapema ina hasara zake. Ningeweza kupendekeza mazoezi yangefanyikia hata Tunisia ambako hali ya hewa haitofautiani sana na ya Morocco halafu Simba waingie Casablanca siku moja kabla.

Toka game ya kwanza, kama sikosei Simba wamefanya mazoezi siku moja tu Dar es Salaam kabla hawajafanya safari ya Morocco. Kwa maana hiyo drill zote za mpango kazi wa mechi ya marudiano zitafanyikia huko huko Morocco.

Morocco ni nchi iliyoendelea sana katika nyanja nyingi na mpira wao wanauendesha kisasa mno. Inawezekana moja ya mbinu ambazo Wydad wamekuwa wanatumia ni kurekodi mazoezi ya timu pinzani wakiwa katika ardhi yao na baadae wanaenda kufanya analysis kujua mnajipangaje kwa mechi.

Mbadala wa hii changamoto ni kwa Simba kutumia zaidi chaki na ubao na kufanya drills za mbinu kwa kiwango kidogo sana maana kutofanya kabisa ni jambo lisilowezekana. Ikiwezekana drills za mbinu za mchezo fanyeni uwanjani usiku maana commercial drones hazirekodi video katika giza, mazoezi ya asubuhi yawe ya viungo au yale basic tu na si mbinu za mchezo.

Hizi drones zimewalaza sana Waarabu chini ya vifusi ila na wenyewe wameamka na kuzitumia kwa faida yao.
Oyaaa mbona kuna drones kibao zinauwezo wa kurekodi gizani braza
 
Cha kushangaza siku hizi Simba na Yanga zinapendelea kucheza mechi zao usiku ila hazifanyia kabisa mazoezi usiku. Hata zikienda nje na mechi ni usiku sikumbuki kuziona zikifanya mazoezi muda huo wakati inabidi wafanye hivyo kuzoea hali ya hewa ya muda huo.
We ni kocha wa timu gani?
 
Oyaaa mbona kuna drones kibao zinauwezo wa kurekodi gizani braza
Zikiwa juu sana na huku chini mwanga hafifu, hazitatoa video za quality unazoweza kuzisoma. Drone za kijeshi ndiyo zina uwezo huo maana camera zake zina uwezo mkubwa wa kurekodi matukio hata katika giza tupu.
 
Siku ya mechi wajifanye wana mafua kwa sababu ya hali ya hewa waombe mechi iahirishwe watafuten NEUTRAL GROUND maana siyo kwa lile vibe la mashabiki
 
Nawapongeza Simba kwa kwenda mapema huko Casablanca kuzoea hali ya hewa hasa ya majira ya jioni ila faida hiyo ya kwenda mapema ina hasara zake. Ningeweza kupendekeza mazoezi yangefanyikia hata Tunisia ambako hali ya hewa haitofautiani sana na ya Morocco halafu Simba waingie Casablanca siku moja kabla.

Toka game ya kwanza, kama sikosei Simba wamefanya mazoezi siku moja tu Dar es Salaam kabla hawajafanya safari ya Morocco. Kwa maana hiyo drill zote za mpango kazi wa mechi ya marudiano zitafanyikia huko huko Morocco.

Morocco ni nchi iliyoendelea sana katika nyanja nyingi na mpira wao wanauendesha kisasa mno. Inawezekana moja ya mbinu ambazo Wydad wamekuwa wanatumia ni kurekodi mazoezi ya timu pinzani wakiwa katika ardhi yao na baadae wanaenda kufanya analysis kujua mnajipangaje kwa mechi.

Mbadala wa hii changamoto ni kwa Simba kutumia zaidi chaki na ubao na kufanya drills za mbinu kwa kiwango kidogo sana maana kutofanya kabisa ni jambo lisilowezekana. Ikiwezekana drills za mbinu za mchezo fanyeni uwanjani usiku maana commercial drones hazirekodi video katika giza, mazoezi ya asubuhi yawe ya viungo au yale basic tu na si mbinu za mchezo.

Hizi drones zimewalaza sana Waarabu chini ya vifusi ila na wenyewe wameamka na kuzitumia kwa faida yao.
Post nzuri kinadharia, lakini kiuhalisia hata FIFA imezuia matumizi ya Drones katika Viwanja vya michezo ya mpira wa miguu.

Sababu ni kwamba zaweza kutumika kama Silaha za maangamizi. Zinaweza kuwa loaded with bombs. Hilo ondo shaka. Simba imekwishafanya mazoezi ya kifundi yote hapa hapa nyumbani Tanzania. Pale Casablanca wanaokwenda kufanya mazoezi ya kawaida ya utimamu wa mwili tu.

Ni masuala ya pumzi zaidi na kucheza bila mpira, ambayo tumezo3a kuyaita "Hangaisha bwege" au "ku-suffer."

Mengine yote yalishakamilika.
 
Post nzuri kinadharia, lakini kiuhalisia hata FIFA imezuia matumizi ya Drones katika Viwanja vya michezo ya mpira wa miguu.

Sababu ni kwamba zaweza kutumika kama Silaha za maangamizi. Zinaweza kuwa loaded with bombs. Hilo ondo shaka. Simba imekwishafanya mazoezi ya kifundi yote hapa hapa nyumbani Tanzania. Pale Casablanca wanaokwenda kufanya mazoezi ya kawaida ya utimamu wa mwili tu.

Ni masuala ya pumzi zaidi na kucheza bila mpira, ambayo tumezo3a kuyaita "Hangaisha bwege" au "ku-suffer."

Mengine yote yalishakamilika.
Ahsante Juma Mgunda aka Guadiola mnene.
 
Post nzuri kinadharia, lakini kiuhalisia hata FIFA imezuia matumizi ya Drones katika Viwanja vya michezo ya mpira wa miguu.

Sababu ni kwamba zaweza kutumika kama Silaha za maangamizi. Zinaweza kuwa loaded with bombs. Hilo ondo shaka. Simba imekwishafanya mazoezi ya kifundi yote hapa hapa nyumbani Tanzania. Pale Casablanca wanaokwenda kufanya mazoezi ya kawaida ya utimamu wa mwili tu.

Ni masuala ya pumzi zaidi na kucheza bila mpira, ambayo tumezo3a kuyaita "Hangaisha bwege" au "ku-suffer."

Mengine yote yalishakamilika.
Sawa mkuu. Guvu moya!
 
Kumbe aliletwa kwa ajiri ya Nabi ok poa, Note this Robert na Robertinho ni sawa na Saidi na Saidoo chukua hio mbumbumbu
Na Nabi tumuiteje, Nabinho au Nabioo? Sisi Wanyamwezi kwanza mzee wetu tunamuita BOB hata hilo Robertinho hatulitumii.
 
Back
Top Bottom