Simba kuweni makini na hiyo timu yenu, wekeni akiba ya maneno, ushindi dhidi ya Tabora, Singida fountain gate usiwafanye mkaona mko vizuri

Simba kuweni makini na hiyo timu yenu, wekeni akiba ya maneno, ushindi dhidi ya Tabora, Singida fountain gate usiwafanye mkaona mko vizuri

Majok majok

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2023
Posts
783
Reaction score
2,057
Nimeona mashabiki na wanachama wa Simba wakifurahia kupitia kiasi ushindi wao wa mechi 2 dhidi ya wagonjwa TABORA united na singida FOUNTAIN GATE lakini Kuna wengine wanaoujua mpira Wala awakufurahi Bali wanasema Simba bado aijaanza ligi kulingana na aina ya timu walizokutana nazo kuwa ni dhaifu sana kiufundi na kimbinu, na pia wamejenga hoja zao Kama ifuatavyo;

A) MECHI DHIDI YA TABORA UNITED
Wanaoujua mpira wamejenga hoja ya kwamba mpaka Simba anakwenda kucheza na TABORA united ilikuwa imezuiwa kutumia wachezaji wake wote wa kigeni kwa kukosa vibali baada ya kufunguliwa na fifa lakini tff ikashindwa kutoa leseni na vibali kwa wakati licha ya kukamilisha taratibu zote kabla ya mchezo, hii Ina maana ya kwamba kulikuwa na michezo michafu ya kuchelewesha makusudi ili Simba wapate mserereko wa kushinda mechi kirahisi ukizingatia bado wanajitafuta, lakini pia bodi ya ligi kuwapangia Simba ratiba dhidi ya timu zilizokuwa na matatizo zote 2 mfululizo sio kwamba ilikuwa ni bahati mbaya Bali walipanga kimkakati walijua kabisa kwamba Simba utapata alama za bwelele ili kuwapoza mashabiki wao na kutuliza presha KWA VIONGOZI!

Pia suala la Simba kuanzia uwanja wa nyumbani mechi 3 mfululizo nalo alikuwekwa kwa bahati mbaya Bali kimalengo ikiwemo kutafuta muunganiko kabla timu aijaanza kutoka kwenda kwenye viwanja vigumu na kucheza na timu ngumu!

B) MECHI DHIDI YA SINGIDA FOUNTAIN GATE!

Mechi hii aina tofauti na mechi dhidi ya TABORA kwakuwa na singida pia ilikuwa aijakamilisha usajili wa wachezaji mpaka mechi yao na namungo ikaahirishwa, wamekamilisha majuzi kwakuwa walikuwa na wachezaji 7 tu kwenye mfumo wa fifa, kimbinu na kiufundi timu imefanya mazoezi ya kiufundi lini na wachezaji waliokusanywa tu Kama mafungu ya nyanya kwenda kucheza mechi ya kiushindani wangeonyesha uwezo Gani? Fitness yao na chemistry yao nafikiri Kila mwenye kuujua mpira ameona pale uwanjani!

Kimbinu na kiufundi hizi timu zote 2 ambazo Simba kaokota alama 6 zilikuwa na Hali mbaya kupitia maelezo!

Bodi ya ligi walifanya wanachokijua sio kwa bahati mbaya kwamba unakutana na timu zote 2 mfululizo zenye matatizo yanayofanana sio kweli!

Kwa maana iyo wajenga hoja Wana wasi wasi sana ya kwamba matatizo yaliyopo pale Simba yatashindwa kurekebishwa kutokana na kukutana na timu dhaifu alafu watajiona wamekamilika jambo ambalo litawapa wakati ngumu watakapoanza kukutana na timu imara vile vilio vya muunganiko vitarudi kwa kasi ya kimondo!

Wajenga hoja wameweka angalizo ya kwamba akiba ya maneno iwepo bado Simba Ina matatizo na bado ayajaisha!

NB: kutoa povu ni ruksa lakini ujumbe umefika, kwamba singida na Tabora ni mtego kwa wajinga lakini wenye akili wanajua siasa za mpira wa kitanzania ivyo jiandaeni kisaikolojia!

Pia soma:FT: Simba SC 4-0 Fountain Gates FC | NBC Premier League | KMC Complex | 25.08.2024
 
Kiuchambuzi technically bila upendeleo wowote yanga bado hawana timu
 
Nimeona mashabiki na wanachama wa Simba wakifurahia kupitia kiasi ushindi wao wa mechi 2 dhidi ya wagonjwa TABORA united na singida FOUNTAIN GATE lakini Kuna wengine wanaoujua mpira Wala awakufurahi Bali wanasema Simba bado aijaanza ligi kulingana na aina ya timu walizokutana nazo kuwa ni dhaifu sana kiufundi na kimbinu, na pia wamejenga hoja zao Kama ifuatavyo;

A) MECHI DHIDI YA TABORA UNITED
Wanaoujua mpira wamejenga hoja ya kwamba mpaka Simba anakwenda kucheza na TABORA united ilikuwa imezuiwa kutumia wachezaji wake wote wa kigeni kwa kukosa vibali baada ya kufunguliwa na fifa lakini tff ikashindwa kutoa leseni na vibali kwa wakati licha ya kukamilisha taratibu zote kabla ya mchezo, hii Ina maana ya kwamba kulikuwa na michezo michafu ya kuchelewesha makusudi ili Simba wapate mserereko wa kushinda mechi kirahisi ukizingatia bado wanajitafuta, lakini pia bodi ya ligi kuwapangia Simba ratiba dhidi ya timu zilizokuwa na matatizo zote 2 mfululizo sio kwamba ilikuwa ni bahati mbaya Bali walipanga kimkakati walijua kabisa kwamba Simba utapata alama za bwelele ili kuwapoza mashabiki wao na kutuliza presha KWA VIONGOZI!
Pia suala la Simba kuanzia uwanja wa nyumbani mechi 3 mfululizo nalo alikuwekwa kwa bahati mbaya Bali kimalengo ikiwemo kutafuta muunganiko kabla timu aijaanza kutoka kwenda kwenye viwanja vigumu na kucheza na timu ngumu!


B) MECHI DHIDI YA SINGIDA FOUNTAIN GATE!

Mechi hii aina tofauti na mechi dhidi ya TABORA kwakuwa na singida pia ilikuwa aijakamilisha usajili wa wachezaji mpaka mechi yao na namungo ikaahirishwa, wamekamilisha majuzi kwakuwa walikuwa na wachezaji 7 tu kwenye mfumo wa fifa, kimbinu na kiufundi timu imefanya mazoezi ya kiufundi lini na wachezaji waliokusanywa tu Kama mafungu ya nyanya kwenda kucheza mechi ya kiushindani wangeonyesha uwezo Gani? Fitness yao na chemistry yao nafikiri Kila mwenye kuujua mpira ameona pale uwanjani!
Kimbinu na kiufundi hizi timu zote 2 ambazo Simba kaokota alama 6 zilikuwa na Hali mbaya kupitia maelezo!
Bodi ya ligi walifanya wanachokijua sio kwa bahati mbaya kwamba unakutana na timu zote 2 mfululizo zenye matatizo yanayofanana sio kweli!
Kwa maana iyo wajenga hoja Wana wasi wasi sana ya kwamba matatizo yaliyopo pale Simba yatashindwa kurekebishwa kutokana na kukutana na timu dhaifu alafu watajiona wamekamilika jambo ambalo litawapa wakati ngumu watakapoanza kukutana na timu imara vile vilio vya muunganiko vitarudi kwa kasi ya kimondo!
Wajenga hoja wameweka angalizo ya kwamba akiba ya maneno iwepo bado Simba Ina matatizo na bado ayajaisha!

NB: kutoa povu ni ruksa lakini ujumbe umefika, kwamba singida na Tabora ni mtego kwa wajinga lakini wenye akili wanajua siasa za mpira wa kitanzania ivyo jiandaeni kisaikolojia!
Bado sana ila tuunganishe vidole, let us cross our fingers, leo walicheza wazawa tu wageni bado vibali havichakamilika
 
Singida Black stars jana wamecheza na hiyo Tabora unayoiongelea. Wamewafunga Tabora 10? Na nani mjinga huyo aliyekuambia wewe mjinga mwenzake kuwa timu km majina ya wachezaji wake hayajasajiliwa FIFA hawaruhusiwi kufanya mazoezi pamoja hadi useme Fountain gate wamekusanya tu wachezaji baada ya kupata ruhusa ya ghafla na TFF? Hivi hujui kuwa mi FIFA ndio wanaofungia usajili na Na ndio wanaruhusu usajili kama umetekeleza maelekezo Yao na siyo TFF? Km jambo hujui ficha tu ujinga wako, ushabiki usikufanye uonekane kituko humu mitandaoni.
 
Singida Black stars jana wamecheza na hiyo Tabora unayoiongelea. Wamewafunga Tabora 10? Na nani mjinga huyo aliyekuambia wewe mjinga mwenzake kuwa timu km majina ya wachezaji wake hayajasajiliwa FIFA hawaruhusiwi kufanya mazoezi pamoja hadi useme Fountain gate wamekusanya tu wachezaji baada ya kupata ruhusa ya ghafla na TFF? Hivi hujui kuwa mi FIFA ndio wanaofungia usajili na Na ndio wanaruhusu usajili kama umetekeleza maelekezo Yao na siyo TFF? Km jambo hujui ficha tu ujinga wako, ushabiki usikufanye uonekane kituko humu mitandaoni.
SBS alicheza na Kagera
 
Singida Black stars jana wamecheza na hiyo Tabora unayoiongelea. Wamewafunga Tabora 10? Na nani mjinga huyo aliyekuambia wewe mjinga mwenzake kuwa timu km majina ya wachezaji wake hayajasajiliwa FIFA hawaruhusiwi kufanya mazoezi pamoja hadi useme Fountain gate wamekusanya tu wachezaji baada ya kupata ruhusa ya ghafla na TFF? Hivi hujui kuwa mi FIFA ndio wanaofungia usajili na Na ndio wanaruhusu usajili kama umetekeleza maelekezo Yao na siyo TFF? Km jambo hujui ficha tu ujinga wako, ushabiki usikufanye uonekane kituko humu mitandaoni.
Singida kacheza na Kagera sio na Tabora, kafatilie.
 
Singida Black stars jana wamecheza na hiyo Tabora unayoiongelea. Wamewafunga Tabora 10? Na nani mjinga huyo aliyekuambia wewe mjinga mwenzake kuwa timu km majina ya wachezaji wake hayajasajiliwa FIFA hawaruhusiwi kufanya mazoezi pamoja hadi useme Fountain gate wamekusanya tu wachezaji baada ya kupata ruhusa ya ghafla na TFF? Hivi hujui kuwa mi FIFA ndio wanaofungia usajili na Na ndio wanaruhusu usajili kama umetekeleza maelekezo Yao na siyo TFF? Km jambo hujui ficha tu ujinga wako, ushabiki usikufanye uonekane kituko humu mitandaoni.
Wachezaji wa kimataifa wa fountain gate hawakuruhusiwa kucheza leo
IMG_20240825_191312.jpg
 
Nina tibaa yakoo mkuu, naamini utapona haraka sana.
Hebu wahi kunionaa, poleee kwa kutesekaaaaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Singida Black stars jana wamecheza na hiyo Tabora unayoiongelea. Wamewafunga Tabora 10? Na nani mjinga huyo aliyekuambia wewe mjinga mwenzake kuwa timu km majina ya wachezaji wake hayajasajiliwa FIFA hawaruhusiwi kufanya mazoezi pamoja hadi useme Fountain gate wamekusanya tu wachezaji baada ya kupata ruhusa ya ghafla na TFF? Hivi hujui kuwa mi FIFA ndio wanaofungia usajili na Na ndio wanaruhusu usajili kama umetekeleza maelekezo Yao na siyo TFF? Km jambo hujui ficha tu ujinga wako, ushabiki usikufanye uonekane kituko humu mitandaoni.
Acha utahaira singida kacheza na Tabora mechi Gani ya ligi ama ya kirafiki? Ninachojua singida kacheza na ken gold mechi ya kwanza akashinda 3-1, mechi ya pili singida kacheza na Kagera sugar akashinda 1-0, sijui iyo singida iliyocheza na Tabora unayoisema ni ipi labda!
Alafu jikite kwenye hoja nimesema Simba kacheza na timu dhaifu kulingana na timu husika kufungiwa na ratiba kuwabeba Simba iyo aiondoi ukweli ukitaka kubali ukitaka acha, maana mashabiki fata upepo wako wengi uko mtaa wa pili ambao mpira wameujulia ukubwani!
 
kwa tz hii nikiangalia club zote hakuna sasahivi mechi yenye ushindani kama ya simba na yanga hizo timu nyengine asikuambie mtu bado sana tena sana!, kwahiyo hata zikifungwa mi sishangai ni ngumu kushindana na timu zilizojidhatiti kimataifa ambazo zina kila hali yakutaka kutanua mbawa kimataifa!,humu ndani ni kama mazoezi tu!.
na kukosekana ushindani hivi kutaua ligi yetu! azam nae kalagabao tu yule!. mpaka leo anacheza mipira yakukamia badala ya ufundi!
 
Nimeona mashabiki na wanachama wa Simba wakifurahia kupitia kiasi ushindi wao wa mechi 2 dhidi ya wagonjwa TABORA united na singida FOUNTAIN GATE lakini Kuna wengine wanaoujua mpira Wala awakufurahi Bali wanasema Simba bado aijaanza ligi kulingana na aina ya timu walizokutana nazo kuwa ni dhaifu sana kiufundi na kimbinu, na pia wamejenga hoja zao Kama ifuatavyo;

A) MECHI DHIDI YA TABORA UNITED
Wanaoujua mpira wamejenga hoja ya kwamba mpaka Simba anakwenda kucheza na TABORA united ilikuwa imezuiwa kutumia wachezaji wake wote wa kigeni kwa kukosa vibali baada ya kufunguliwa na fifa lakini tff ikashindwa kutoa leseni na vibali kwa wakati licha ya kukamilisha taratibu zote kabla ya mchezo, hii Ina maana ya kwamba kulikuwa na michezo michafu ya kuchelewesha makusudi ili Simba wapate mserereko wa kushinda mechi kirahisi ukizingatia bado wanajitafuta, lakini pia bodi ya ligi kuwapangia Simba ratiba dhidi ya timu zilizokuwa na matatizo zote 2 mfululizo sio kwamba ilikuwa ni bahati mbaya Bali walipanga kimkakati walijua kabisa kwamba Simba utapata alama za bwelele ili kuwapoza mashabiki wao na kutuliza presha KWA VIONGOZI!

Pia suala la Simba kuanzia uwanja wa nyumbani mechi 3 mfululizo nalo alikuwekwa kwa bahati mbaya Bali kimalengo ikiwemo kutafuta muunganiko kabla timu aijaanza kutoka kwenda kwenye viwanja vigumu na kucheza na timu ngumu!

B) MECHI DHIDI YA SINGIDA FOUNTAIN GATE!

Mechi hii aina tofauti na mechi dhidi ya TABORA kwakuwa na singida pia ilikuwa aijakamilisha usajili wa wachezaji mpaka mechi yao na namungo ikaahirishwa, wamekamilisha majuzi kwakuwa walikuwa na wachezaji 7 tu kwenye mfumo wa fifa, kimbinu na kiufundi timu imefanya mazoezi ya kiufundi lini na wachezaji waliokusanywa tu Kama mafungu ya nyanya kwenda kucheza mechi ya kiushindani wangeonyesha uwezo Gani? Fitness yao na chemistry yao nafikiri Kila mwenye kuujua mpira ameona pale uwanjani!

Kimbinu na kiufundi hizi timu zote 2 ambazo Simba kaokota alama 6 zilikuwa na Hali mbaya kupitia maelezo!

Bodi ya ligi walifanya wanachokijua sio kwa bahati mbaya kwamba unakutana na timu zote 2 mfululizo zenye matatizo yanayofanana sio kweli!

Kwa maana iyo wajenga hoja Wana wasi wasi sana ya kwamba matatizo yaliyopo pale Simba yatashindwa kurekebishwa kutokana na kukutana na timu dhaifu alafu watajiona wamekamilika jambo ambalo litawapa wakati ngumu watakapoanza kukutana na timu imara vile vilio vya muunganiko vitarudi kwa kasi ya kimondo!

Wajenga hoja wameweka angalizo ya kwamba akiba ya maneno iwepo bado Simba Ina matatizo na bado ayajaisha!

NB: kutoa povu ni ruksa lakini ujumbe umefika, kwamba singida na Tabora ni mtego kwa wajinga lakini wenye akili wanajua siasa za mpira wa kitanzania ivyo jiandaeni kisaikolojia!

Pia soma:FT: Simba SC 4-0 Fountain Gates FC | NBC Premier League | KMC Complex | 25.08.2024
Usitupangie furaha, na uchambuzi uchwara.. Nyie mliopiga bom mochwari kwa hao vital o VP..
 
Back
Top Bottom