Simba kwa huyu mgeni rasmi wa Simba Day leo, mmetuangusha sana mashabiki

Simba kwa huyu mgeni rasmi wa Simba Day leo, mmetuangusha sana mashabiki

tpaul

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2008
Posts
24,225
Reaction score
22,632
Naingia kwenye hoja moja kwa moja lakini awali ya yote naomba ku declare intest kwamba mimi ni mwanaSimba kindakindaki. Nina imani Simba Day ya leo tarehe 19/9/2021 imeandaliwa vizuri kimkakati na kimipango lakini kuna jambo moja ambalo klabu imetukusea sisi mashabiki wa ukweli wa Simba. Tangu nilipopata taarifa kuwa mgeni rasmi wa siku ya leo ni mzee wa Galilaya, mnazaleti Job Ndugai, nimeamua nisiende kiwanjani. Naomba mashabiki wengine wa Simba mniunge mkono kususia tukio lhili la Simba siku hii ya leo. Hivi viongozi wa Simba huwa mnawaza nini hasa? Au Ndugai amewahonga hela ili awe mgeni rasmi leo kwa manufaa yake binafsi? Mnakwama wapi lakini?

Image ya Ndugai katika taifa hili imeporomoka sana kiasi kuwa hafai hata kuwa mgeni rasmi kwenye hafla ya birthday. Iweje leo Simba mnamleta mtu huyu kuwa mgeni rasmi? Kusema kweli kitendo hiki kimeniuma sana na sio mimi tu, hata mashabiki wengi wa Simba watakuwa wamesikitishwa mno na kitendo hiki. Ombwe la Manara limeanza kuonekana mapema. Manara angekuwepo Simba hadi leo asingekubali kamwe ujinga huu kufanyika. Nasikitika kusema kwamba sitakwenda kiwanjani na wala sitafuatilia tukio hili kwenye TV. Nina kazi nyingi za kufanya siku hii ya leo. Kama nitakosa cha kufanya bora nilale usingizi.

Mlioumizwa na kitendo hiki cha Simba kumteua mgeni rasmi wa ovyo namna hii, tujuane mapema.

Nawasilisha.​
 
Naingia kwenye hoja moja kwa moja lakini awali ya yote naomba ku declare intest kwamba mimi ni mwanaSimba kindakindaki. Nina imani Simba Day ya leo tarehe 19/9/2021 imeandaliwa vizuri kimkakati na kimipango lakini kuna jambo moja ambalo klabu imetukusea sisi mashabiki wa ukweli wa Simba. Tangu nilipopata taarifa kuwa mgeni rasmi wa siku ya leo ni mzee wa Galilaya, mnazaleti Job Ndugai, nieamua nisiende kiwanjani. Naomba mashabiki wengine wa Simba mniunge mkono kususia tukio lhili a Simba siku hii ya leo. Hivi viongozi wa Simba huwa mnawaza nini hasa? Au Ndugai amewahonga hela ili awe mgeni rasmi leo kwa manufaa yake binafsi? Mnakwama wapi lakini?

Image ya Ndugai katika taifa hili imeporomoka sana kiasi kuwa hafai hata kuwa mgeni rasmi kwenye hafla ya birthday. Iweje leo Simba mnamleta mtu huyu kuwa mgeni rasmi? Kusema kweli kitendo hiki kimeniuma sana na sio mimi tu, hata mashabiki wengi wa Simba watakuwa wamesikitishwa mno na kitendo hiki. Ombwe la Manara limeanza kuonekana mapema. Manara angekuwepo Simba hadi leo asingekubali kamwe ujinga huu kufanyika. Nasikitika kusema kwamba sitakwenda kiwanjani na wala sitafuatilia tukio hili kwenye TV. Nina kazi nyingi za kufanya siku hii ya leo. Kama nitakosa cha kufanya bora nilale usingizi.

Mlioumizwa na kitendo hiki cha Simba kumteua mgeni rasmi wa ovyo namna hii, tujuane mapema.

Nawasilisha.
Hahaha umefuta CCM fasta au siyo
 
Nyie ndo makolo na akili zenu mgando
Kila kitu unatanguliza siasa.. Huu ni mpira not siasa hautakiwi kubagua kama siasa mnavyofanya..

Tulia kolo
Hujanielewa hata kidogo. Mimi sina ugomvi na wanasiasa bali ninasikitika Simba kumteua Ndugai kuwa mgeni rasmi huku wakijua kwamba credibility ya Ndugai imeshuka sana. Wewe unashindwaje kuelewa hili mkuu?
 
Ligi za nje mtu muongeaji sana huyo anagewa kazi ya kutangaza mpira wakina Drury, Tyler, Champion, Proudfoot n.k.

Bongo unakua msemaji wa timu na unaaminiwa ukiwepo wewe timu ndiyo inapata ushindi
 
Mnyama mwenzangu acha umbumbumbu, hapa issue sio Nani mgeni rasmi, michezo ni furaha. Sasa ukianza kuweka siasa hata kanisa lako utaliona Utopolo kisa Kuna watu wa itikadi tofauti na zako!

We only live once, just enjoy and keep others aside!
 
Hahaha umefuta CCM fasta au siyo
Tena haraka sana mkuu. Sijui hata nilikuwa nawaza nini nikaandika vile. 😀 😀 😀 😀 😀 🤣 😅 😂
 
Mnyama mwenzangu acha umbumbumbu, hapa issue sio Nani mgeni rasmi, michezo ni furaha. Sasa ukianza kuweka siasa hata kanisa lako utaliona Utopolo kisa Kuna watu wa itikadi tofauti na zako!

We only live once, just enjoy and keep others aside!
Mkuu mimi nazunguzmia uhalali wa mgeni rasmi huyu kwani ameishachafuka sana. Elewa Simba ni timu kubwa na yenye heshima. Sasa inapomleta mgeni rasmi wa ovyo kama Ndugai hapo ndipo wanatukosea sana sisi mashabiki.
 
Mkuu mimi nazunguzmia uhalali wa mgeni rasmi huyu kwani ameishachafuka sana. Elewa Simba ni timu kubwa na yenye heshima. Sasa inapomleta mgeni rasmi wa ovyo kama Ndugai hapo ndipo wanatukosea sana sisi mashabiki.
Sasa ulitaka aletwe Nani asiye mchafu? Hapa Tz Hakuna Malaika, wote wachafu tu!


Tuifurahie timu yetu no matter what. Levels za malawama tuwaachie Kapumbu FC aka Vyura aka Utopolo!

Sie wanaume hata tukiwekewa mgeni rasmi awe mjumbe wa nyumba kumi au hata hewa tu tunasonga mbele!

One team, one dream! Nguvu moja!
 
Nyie ndo makolo na akili zenu mgando
Kila kitu unatanguliza siasa.. Huu ni mpira not siasa hautakiwi kubagua kama siasa mnavyofanya..

Tulia kolo

Kilichooza kimeoza tu, hata ukipulizie manukato.

Ndugai mchafu vyovyote iwavyo nikuichafua simba tu.
 
Naingia kwenye hoja moja kwa moja lakini awali ya yote naomba ku declare intest kwamba mimi ni mwanaSimba kindakindaki. Nina imani Simba Day ya leo tarehe 19/9/2021 imeandaliwa vizuri kimkakati na kimipango lakini kuna jambo moja ambalo klabu imetukusea sisi mashabiki wa ukweli wa Simba. Tangu nilipopata taarifa kuwa mgeni rasmi wa siku ya leo ni mzee wa Galilaya, mnazaleti Job Ndugai, nieamua nisiende kiwanjani. Naomba mashabiki wengine wa Simba mniunge mkono kususia tukio lhili la Simba siku hii ya leo. Hivi viongozi wa Simba huwa mnawaza nini hasa? Au Ndugai amewahonga hela ili awe mgeni rasmi leo kwa manufaa yake binafsi? Mnakwama wapi lakini?

Image ya Ndugai katika taifa hili imeporomoka sana kiasi kuwa hafai hata kuwa mgeni rasmi kwenye hafla ya birthday. Iweje leo Simba mnamleta mtu huyu kuwa mgeni rasmi? Kusema kweli kitendo hiki kimeniuma sana na sio mimi tu, hata mashabiki wengi wa Simba watakuwa wamesikitishwa mno na kitendo hiki. Ombwe la Manara limeanza kuonekana mapema. Manara angekuwepo Simba hadi leo asingekubali kamwe ujinga huu kufanyika. Nasikitika kusema kwamba sitakwenda kiwanjani na wala sitafuatilia tukio hili kwenye TV. Nina kazi nyingi za kufanya siku hii ya leo. Kama nitakosa cha kufanya bora nilale usingizi.

Mlioumizwa na kitendo hiki cha Simba kumteua mgeni rasmi wa ovyo namna hii, tujuane mapema.

Nawasilisha.​
🚮🚮
 
Sasa ulitaka aletwe Nani asiye mchafu? Hapa Tz Hakuna Malaika, wote wachafu tu!


Tuifurahie timu yetu no matter what. Levels za malawama tuwaachie Kapumbu FC aka Vyura aka Utopolo!

Sie wanaume hata tukiwekewa mgeni rasmi awe mjumbe wa nyumba kumi au hata hewa tu tunasonga mbele!

One team, one dream! Nguvu moja!
Uchafu wa job kwa watanzania ni hovyo sana

Bora mataka, makala au mbarawa nk

Sio huyu mwenye mdomo mchafu

Hana huruma na watanzania

Bungeni anapitisha masheria hovyohovyo

Wanini sasa mtu asiye na utu kwa watu
 
Yani kisa job ndugai kuwa mgeni rasmi ndiyo ususe kwenda uwanjani na kususa Hadi kuangalia TV? serious mkuu??

Hakuna shabiki kindakindaki wa Simba anayeweza kukusapoti huu upuuzi wako..Mpira siyo uadui,Mpira siyo uhasama,Mpira ndy mahali ambapo mnaweka Kando tofauti zenu kisha mnashangilia pamoja..umeniangusha sn mwanasimba mwenzangu
 
Umeongea facts bro ndugai kapuyanga sana siku hizi
Sana mkuu. Kumbe hata wewe umeona? Simba ni klabu kubwa barani Afrika na duniani kwa ujumla. Hawakupaswa kumleta mgeni rasmi wa ovyo kama Ndugai. Wametukosea sana mashabiki.
 
Back
Top Bottom