Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na tayari nuksi imetutokea puani mkuu. Tumepigwa na Mazembe. Yaani siku ya leo imeisha vibaya sana.Ni kawaida yenu kuleta wageni rasmi wenye makandokando, mlishagaleta makonda mpaka akawa mshauri mkuu wenu, mara leo mnaleta ndugai, akuna asiejua makandokando ya ndugai kumleta kuwa mgeni rasmi ni kuunajisi mpira wetu na kuonyesha mnamuunga mkono kwenye yote anayofanya uko bungeni,,,endeleeni kujipaka kinyesi na nuksi