Simba kwa huyu mgeni rasmi wa Simba Day leo, mmetuangusha sana mashabiki

Nadhani sasa kila mtu amejionea Simba wamemleta mgeni rasmi wa ovyo matokeo yake tumefungwa na Mazembe. Hivi uongozi wa Simba unakwama wapi lakini?
 
Na tayari nuksi imetutokea puani mkuu. Tumepigwa na Mazembe. Yaani siku ya leo imeisha vibaya sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…