Simba kwaa huu ujinga na uhuni mnaofanya dhidi ya Vita lazima mfungwe na kupigwa fine.

Simba kwaa huu ujinga na uhuni mnaofanya dhidi ya Vita lazima mfungwe na kupigwa fine.

Wasalaam..
Kwanza kabisa lazima tukubali mpira ni mchezo wa kistaarab na wa amani na wakudumisha mahusiano....na si vurugu na uhuni.
Simba wanakuwa wajinga na wahuni kuwazuia wenzao kufanya mazoezi na kuendelea kuwafanyia vurugu... Lakini lazima tujiulize je Simba walipo kwenda Congo walipokewaje? walifanyiwa kama wanayo yafanya dhidi ya Vita?
Simba wamegundua hawawezi kuwafunga Vita uwanjani?
Simba na uongozi kwanini mmejigeuza wajinga kiasi hiki?
Hivi mnajua mtakutana na Rungu la CAF kwa huu upuuzi?

Simba kwa mwendo huu inahitajika miujiza kushinda mechi ya leo maana kisaikolojia mmeshafungwa kabisa....
Mpira unachezwa uwanjani.
Umetumwa wewe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wa Yanga na Vita wanatafuta huruma isiokuwepo ,wapi wamezuiwa kufanya mazoezi ,mfano kuna clip inazunguka wanadai wanapigwa mbona sijaona wakipigwa ,Vita wamekosea kuwa karibu na Yanga badala ya kuwàsaidia wamewajaza uoga
 
Uyo jamaa uCCM ushamuathir anataman aite police ccm wenzake
 
Back
Top Bottom