Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,512
- 23,925
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vyura wanabwabwaja tu.Hizo video za timu ya Vita kufanyiwa fujo ziwekeni hapa kama zipo.
Wasiojiamini ni Vita au nyinyi Mambumbumbu wategemea ndumba?Shida hao jamaa zenu hawataki hata watu wa media wawasogelee..shida ni kwamba mshawalisha sumu kiasi kwamba hawajiamini.
Wanajifanya hawajuiJuve kashinda nyumbani
Barca kashinda nyumbani
Man city kashinda nyumbani
TFF inayokemea ndumba lakini inairuhusu Simba kufanya mazingaombwe mchana kweupeeee!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanajitekenya na kucheka wenyewe! Wasubiri mechi tu.Kuna video wanapiga makelele, eti, mbona mnatupiga? Halafu wanajirekodi, ukiangalia anayepigwa hakuna, unaona tu watu wanashuka kwenye basi vizuri.
Wanashangaza sana.
Watimue tu lile livuta sigara, tangu lini Chelsea ikacheza mpira wa pasi nyingi kama Arsenal nakati siyo hata philosophy yake?Outsides games tuko vizur Chelsea hata kweny league ya ndan changamoto ni kufunga magoli koz kumiliki mpira tuko vzr
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona tumewaona vita wakifanya mazoezi taifa au walizuiwa uwanja upi?Simba walivyo kwenda kongo walizuiwa kufanya mazoezi?
Watu wa Yanga na Vita wanatafuta huruma isiokuwepo ,wapi wamezuiwa kufanya mazoezi ,mfano kuna clip inazunguka wanadai wanapigwa mbona sijaona wakipigwa ,Vita wamekosea kuwa karibu na Yanga badala ya kuwàsaidia wamewajaza uoga
Hueleweki jinsia ako, wewe jichungulie kwanzaWasalaam..
Kwanza kabisa lazima tukubali mpira ni mchezo wa kistaarab na wa amani na wakudumisha mahusiano....na si vurugu na uhuni.
Simba wanakuwa wajinga na wahuni kuwazuia wenzao kufanya mazoezi na kuendelea kuwafanyia vurugu... Lakini lazima tujiulize je Simba walipo kwenda Congo walipokewaje? walifanyiwa kama wanayo yafanya dhidi ya Vita?
Simba wamegundua hawawezi kuwafunga Vita uwanjani?
Simba na uongozi kwanini mmejigeuza wajinga kiasi hiki?
Hivi mnajua mtakutana na Rungu la CAF kwa huu upuuzi?
Simba kwa mwendo huu inahitajika miujiza kushinda mechi ya leo maana kisaikolojia mmeshafungwa kabisa....
Mpira unachezwa uwanjani.
Ukiwa mshabiki wa CCM kipindi hiki kila kitu utafeli.Wasalaam..
Kwanza kabisa lazima tukubali mpira ni mchezo wa kistaarab na wa amani na wakudumisha mahusiano....na si vurugu na uhuni.
Simba wanakuwa wajinga na wahuni kuwazuia wenzao kufanya mazoezi na kuendelea kuwafanyia vurugu... Lakini lazima tujiulize je Simba walipo kwenda Congo walipokewaje? walifanyiwa kama wanayo yafanya dhidi ya Vita?
Simba wamegundua hawawezi kuwafunga Vita uwanjani?
Simba na uongozi kwanini mmejigeuza wajinga kiasi hiki?
Hivi mnajua mtakutana na Rungu la CAF kwa huu upuuzi?
Simba kwa mwendo huu inahitajika miujiza kushinda mechi ya leo maana kisaikolojia mmeshafungwa kabisa....
Mpira unachezwa uwanjani.
Pimbi wa Misitu ya Kongo manina zako, bila shaka sasa hivi Makusu anakuhemea kisogoni.Wasalaam..
Kwanza kabisa lazima tukubali mpira ni mchezo wa kistaarab na wa amani na wakudumisha mahusiano....na si vurugu na uhuni.
Simba wanakuwa wajinga na wahuni kuwazuia wenzao kufanya mazoezi na kuendelea kuwafanyia vurugu... Lakini lazima tujiulize je Simba walipo kwenda Congo walipokewaje? walifanyiwa kama wanayo yafanya dhidi ya Vita?
Simba wamegundua hawawezi kuwafunga Vita uwanjani?
Simba na uongozi kwanini mmejigeuza wajinga kiasi hiki?
Hivi mnajua mtakutana na Rungu la CAF kwa huu upuuzi?
Simba kwa mwendo huu inahitajika miujiza kushinda mechi ya leo maana kisaikolojia mmeshafungwa kabisa....
Mpira unachezwa uwanjani.
Watimue tu lile livuta sigara, tangu lini Chelsea ikacheza mpira wa pasi nyingi kama Arsenal nakati siyo hata philosophy yake?
Sent using Jamii Forums mobile app