Simba kwaa huu ujinga na uhuni mnaofanya dhidi ya Vita lazima mfungwe na kupigwa fine.

Simba kwaa huu ujinga na uhuni mnaofanya dhidi ya Vita lazima mfungwe na kupigwa fine.

Watu wa Yanga na Vita wanatafuta huruma isiokuwepo ,wapi wamezuiwa kufanya mazoezi ,mfano kuna clip inazunguka wanadai wanapigwa mbona sijaona wakipigwa ,Vita wamekosea kuwa karibu na Yanga badala ya kuwàsaidia wamewajaza uoga

Mimi nilijua tu kuwa alichosema HAJJI MANARA ni sahihi juu ya MWINYI ZUHURA kuaga anakwenda Congo kumbe kaenda kwa As Vita kuandaa Fitna kama hizi.

Yule Zuhura anapakuliwa kweli sio bure!
 
Wasalaam..
Kwanza kabisa lazima tukubali mpira ni mchezo wa kistaarab na wa amani na wakudumisha mahusiano....na si vurugu na uhuni.
Simba wanakuwa wajinga na wahuni kuwazuia wenzao kufanya mazoezi na kuendelea kuwafanyia vurugu... Lakini lazima tujiulize je Simba walipo kwenda Congo walipokewaje? walifanyiwa kama wanayo yafanya dhidi ya Vita?
Simba wamegundua hawawezi kuwafunga Vita uwanjani?
Simba na uongozi kwanini mmejigeuza wajinga kiasi hiki?
Hivi mnajua mtakutana na Rungu la CAF kwa huu upuuzi?

Simba kwa mwendo huu inahitajika miujiza kushinda mechi ya leo maana kisaikolojia mmeshafungwa kabisa....
Mpira unachezwa uwanjani.
Hueleweki jinsia ako, wewe jichungulie kwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasalaam..
Kwanza kabisa lazima tukubali mpira ni mchezo wa kistaarab na wa amani na wakudumisha mahusiano....na si vurugu na uhuni.
Simba wanakuwa wajinga na wahuni kuwazuia wenzao kufanya mazoezi na kuendelea kuwafanyia vurugu... Lakini lazima tujiulize je Simba walipo kwenda Congo walipokewaje? walifanyiwa kama wanayo yafanya dhidi ya Vita?
Simba wamegundua hawawezi kuwafunga Vita uwanjani?
Simba na uongozi kwanini mmejigeuza wajinga kiasi hiki?
Hivi mnajua mtakutana na Rungu la CAF kwa huu upuuzi?

Simba kwa mwendo huu inahitajika miujiza kushinda mechi ya leo maana kisaikolojia mmeshafungwa kabisa....
Mpira unachezwa uwanjani.
Ukiwa mshabiki wa CCM kipindi hiki kila kitu utafeli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wasalaam..
Kwanza kabisa lazima tukubali mpira ni mchezo wa kistaarab na wa amani na wakudumisha mahusiano....na si vurugu na uhuni.
Simba wanakuwa wajinga na wahuni kuwazuia wenzao kufanya mazoezi na kuendelea kuwafanyia vurugu... Lakini lazima tujiulize je Simba walipo kwenda Congo walipokewaje? walifanyiwa kama wanayo yafanya dhidi ya Vita?
Simba wamegundua hawawezi kuwafunga Vita uwanjani?
Simba na uongozi kwanini mmejigeuza wajinga kiasi hiki?
Hivi mnajua mtakutana na Rungu la CAF kwa huu upuuzi?

Simba kwa mwendo huu inahitajika miujiza kushinda mechi ya leo maana kisaikolojia mmeshafungwa kabisa....
Mpira unachezwa uwanjani.
Pimbi wa Misitu ya Kongo manina zako, bila shaka sasa hivi Makusu anakuhemea kisogoni.
 
Pambana na hali yako
FB_IMG_15527615893296391.jpeg
FB_IMG_15527606157688727.jpeg
53753616_810203019345418_6222493973575892992_n.jpeg
51907634_974735689580630_1941030166423666688_n.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom