Simba kwahili tumefanya uzembe

MTAZAMO

JF-Expert Member
Joined
Feb 8, 2011
Posts
19,675
Reaction score
33,583
Wakuu,

Tatizo sio Senzo kuondoka bali ramani za vita. How mkataba wa Senzo haukuwa na kipengele cha kuzuia kujiunga na wapinzani wa Simba walau 3 years baada ya kuondoka?

CEOs huwa wanabanwa na mikataba kuhamia kwa washindani kuepusha kuuza ramani za vita. Ndio maana huwezi kuta CEO wa NMB anaenda CRDB.

Wanasimba tufahamu kwa sasa tupo exposed! Kuna uzembe tulifanya na sasa Hopefully management wanachange strategies haraka na within short time wawe na mpya! Hii ni issue!

How CEO ana resign 24 hrs bila hata handover na kwenda kwa mshindani wenu mkuu? Extremly poor contract!
 
CEOs huwa wanabanwa na mikataba kuhamia kwa washindani kuepusha kuuza ramani za vita.
Vipi ukinunua ramani ya vita huku ukiwa na askari wapiganaji dhaifu, itasaidia lolote kumshinda adui? Nadhani jambo kubwa ni kuwa na kikosi kizuri cha wachezaji, baada ya hapo mipango ya CEO, kocha na management ndipo itaenda vizuri
 
Halafu mjue Simba sio wajinga, wana watu pale Yanga, na huyu naye amepelekwa kumaliza kazi
 
Senzo hatadumu Yanga.. Waswahili wengi sana
 
Reactions: mmh
Tatizo sio kuuza ramani ya vita,tatizo alipokwenda kuna mfumo sahihi wa kumpa senzo ufanisi wa majukumu yake.zaidi ya uswahili na janjajanja za viongozi wa yanga?
Hata Simba wameonesha immaturity ya hali ya juu, umechukua makombe matatu badala ya kuiwaza TP Mazembe, Mamelody au El Ahly bado wanawaza kushindana na Yanga.

Yanga hawana cha kupoteza, Simba wana cha kupoteza. Yanga wanaweza kuingia mkataba wa kimagumashi na Senzo wakiahidi kumlipa mshahara mkubwa kumbe wanaivuruga Simba tu, ndani ya miezi miwili wanashindwa kumlipa mshahara.

Simba ya akina Manara bado sana.
 
Yaani Chama anaenda Yanga, hivi viongozi wa Simba walikua wamesinzia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…