Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
Kihistoria tumewapiga mabao hawezi kurudisha hadi leo.
Kimataifa tumewapita karibia zaidi ya timu 80 wako nyuma yetu.
Hawana uwanja ila Simba wana Mo Arena.
Mikataba ikisainiwa mtasema tunafoji figures.
Senzo katoka Simba kaoneka a keki Yanga
Manara aliyewatuna wote hamna akili isipkuwa baba yake na Kikwete mmepokea mikono miwili,kapigwa ban hadi mnaadamana awe free mtu aliyewatunakana miaka 4.
HOJA IKO HAPA.
1. Rudisheni magoli mengi tuliyowafunga.
2. Mtu kutoka Simba kwetu kwenu star.
3. Gap ya kimataifa isiwe tunawapita kwa viabu 80 au zaidi angalu 2.
4. Kuweni na uwanja wenu sio wa vumbi angalau siyo mnacheza uani kwa mtu.
Kimataifa tumewapita karibia zaidi ya timu 80 wako nyuma yetu.
Hawana uwanja ila Simba wana Mo Arena.
Mikataba ikisainiwa mtasema tunafoji figures.
Senzo katoka Simba kaoneka a keki Yanga
Manara aliyewatuna wote hamna akili isipkuwa baba yake na Kikwete mmepokea mikono miwili,kapigwa ban hadi mnaadamana awe free mtu aliyewatunakana miaka 4.
HOJA IKO HAPA.
1. Rudisheni magoli mengi tuliyowafunga.
2. Mtu kutoka Simba kwetu kwenu star.
3. Gap ya kimataifa isiwe tunawapita kwa viabu 80 au zaidi angalu 2.
4. Kuweni na uwanja wenu sio wa vumbi angalau siyo mnacheza uani kwa mtu.