Dabil
JF-Expert Member
- Sep 30, 2021
- 6,823
- 15,293
- Thread starter
- #21
Mgogoro wenu hautuhusu ni nye wenyewe,Nakujibu hoja moja moja
1. Mechi ya Simba goli tano ilikuwa nadhani ni 2012 kulikuwa na mgogoro na mpasuko mkubwa Yanga asili na Yanga kampuni na usiku wa kuamkia mechi mimi nilitazama ITV saa mbili taarifa ya habari Mzee Akilimali alihojiwa na waandishi wa habari akaongea kwa hasira sana akavua kofia akaweka juu ya meza akasema tutaona kesho nani mkubwa Yanga. Simba msijifu hamkushinda ile mechi kihalali hebu tufungeni tena 5 mkiweza nahamia Kolo FC japo inaongozwa na demu na kabati lenu la kuweka makombe limejaa vumbi!! hujui kuhusu ule mchezo ulikuwa mdogo au hujazaliwa!
2. Simba imechukua wengi toka Yanga kuja kuwa mastaa Gadiel, Niyonzima, Morrison etc. hoja dhaifu
3.Gap la kimataifa miaka minne ya juzi juzi tu miaka ya nyuma hujui! Halafu tutabeba Kombe la CAF katika ufalme wa Prof Nabi na kufuta rekodi zote za Simba za miaka minne!!
4. Uwanja ni mipango ya timu Eng Hersi anakuja na uwanja wa Yanga ulio na ramani ya Santiago Bernabeu mtamuweza wapi?
Sema jingine!!
Kimataifa Simba ina points 28 Yanga Ina 0.5 wanazudiwa hadi na Namungo
Kuhusu uwanja mmekalia maneno hatuoni vitendo