Simba kwanini tunashindana na Yanga?

Simba kwanini tunashindana na Yanga?

Nakujibu hoja moja moja

1. Mechi ya Simba goli tano ilikuwa nadhani ni 2012 kulikuwa na mgogoro na mpasuko mkubwa Yanga asili na Yanga kampuni na usiku wa kuamkia mechi mimi nilitazama ITV saa mbili taarifa ya habari Mzee Akilimali alihojiwa na waandishi wa habari akaongea kwa hasira sana akavua kofia akaweka juu ya meza akasema tutaona kesho nani mkubwa Yanga. Simba msijifu hamkushinda ile mechi kihalali hebu tufungeni tena 5 mkiweza nahamia Kolo FC japo inaongozwa na demu na kabati lenu la kuweka makombe limejaa vumbi!! hujui kuhusu ule mchezo ulikuwa mdogo au hujazaliwa!

2. Simba imechukua wengi toka Yanga kuja kuwa mastaa Gadiel, Niyonzima, Morrison etc. hoja dhaifu

3.Gap la kimataifa miaka minne ya juzi juzi tu miaka ya nyuma hujui! Halafu tutabeba Kombe la CAF katika ufalme wa Prof Nabi na kufuta rekodi zote za Simba za miaka minne!!

4. Uwanja ni mipango ya timu Eng Hersi anakuja na uwanja wa Yanga ulio na ramani ya Santiago Bernabeu mtamuweza wapi?

Sema jingine!!
Mgogoro wenu hautuhusu ni nye wenyewe,

Kimataifa Simba ina points 28 Yanga Ina 0.5 wanazudiwa hadi na Namungo

Kuhusu uwanja mmekalia maneno hatuoni vitendo
 
Vikombe 28 Vya Yanga ndivyo vinavyomfanya Simba ashindane na Yanga. Mambo ya rank za CAF kama ni Kombe, au udhamini mkubwa kama ni Kombe basi mko vizuri ndugu mbumbumbu.
 
simba mmetokana na Yanga bila Yanga nyie hampo na si lolote si chochote

Hebu heshimuni chimbuko lenu Yanga ni mzazi wenu hamna haja ya kuahindana na Baba Yako

Tutawalaani mjifie
 
Kwa wale akina joyce ndyo mbebe kombe la Caf???hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu,pole sana
Nakujibu hoja moja moja

1. Mechi ya Simba goli tano ilikuwa nadhani ni 2012 kulikuwa na mgogoro na mpasuko mkubwa Yanga asili na Yanga kampuni na usiku wa kuamkia mechi mimi nilitazama ITV saa mbili taarifa ya habari Mzee Akilimali alihojiwa na waandishi wa habari akaongea kwa hasira sana akavua kofia akaweka juu ya meza akasema tutaona kesho nani mkubwa Yanga. Simba msijifu hamkushinda ile mechi kihalali hebu tufungeni tena 5 mkiweza nahamia Kolo FC japo inaongozwa na demu na kabati lenu la kuweka makombe limejaa vumbi!! hujui kuhusu ule mchezo ulikuwa mdogo au hujazaliwa!

2. Simba imechukua wengi toka Yanga kuja kuwa mastaa Gadiel, Niyonzima, Morrison etc. hoja dhaifu

3.Gap la kimataifa miaka minne ya juzi juzi tu miaka ya nyuma hujui! Halafu tutabeba Kombe la CAF katika ufalme wa Prof Nabi na kwa pigo moja tu takatifu tutafuta rekodi zote za Simba za miaka minne na kurukaruka na kuishia njiani!!

4. Uwanja ni mipango ya timu Eng Hersi anakuja na uwanja wa Yanga ulio na ramani ya Santiago Bernabeu mtamuweza wapi?

Sema jingine!!
 
MSHABIKI WA YANGA HAINA HAJA YA KUZOZANA NA HAWA WANAOONGEA SANA
 
Heading ilitakiwa iwe,"Yanga kwanini mnashindana na Simba?"
 
Kushindana na utopolo kwa maneno ni matumizi mabaya ya mdomo. Tulishaambiwa wenye akili utopoloni ni wawili tu (Kikwete na Sunday Manara)

Sasa sijui kwanini huwa tunapoteza muda wetu mwingi kubishana na hawa watu.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Vikombe 28 Vya Yanga ndivyo vinavyomfanya Simba ashindane na Yanga. Mambo ya rank za CAF kama ni Kombe, au udhamini mkubwa kama ni Kombe basi mko vizuri ndugu mbumbumbu.
Umeandika haya kwa akili yako au umeandika mwiko ukiwa umechomekwa nyuma na unanuka kinyesi
 
Nakujibu hoja moja moja

1. Mechi ya Simba goli tano ilikuwa nadhani ni 2012 kulikuwa na mgogoro na mpasuko mkubwa Yanga asili na Yanga kampuni na usiku wa kuamkia mechi mimi nilitazama ITV saa mbili taarifa ya habari Mzee Akilimali alihojiwa na waandishi wa habari akaongea kwa hasira sana akavua kofia akaweka juu ya meza akasema tutaona kesho nani mkubwa Yanga. Simba msijifu hamkushinda ile mechi kihalali hebu tufungeni tena 5 mkiweza nahamia Kolo FC japo inaongozwa na demu na kabati lenu la kuweka makombe limejaa vumbi!! hujui kuhusu ule mchezo ulikuwa mdogo au hujazaliwa!

2. Simba imechukua wengi toka Yanga kuja kuwa mastaa Gadiel, Niyonzima, Morrison etc. hoja dhaifu

3.Gap la kimataifa miaka minne ya juzi juzi tu miaka ya nyuma hujui! Halafu tutabeba Kombe la CAF katika ufalme wa Prof Nabi na kwa pigo moja tu takatifu tutafuta rekodi zote za Simba za miaka minne na kurukaruka na kuishia njiani!!

4. Uwanja ni mipango ya timu Eng Hersi anakuja na uwanja wa Yanga ulio na ramani ya Santiago Bernabeu mtamuweza wapi?

Sema jingine!!
1978 goli 6 ,0 kulikuwa na mgogoro gani ?

2020/2021 ASFC goli 4, 1 kulikuwa na mgogoro ?

1996 goli 4, 1 kulikuwa na mgogoro gani?



Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom