Umesoma uzi vinzuri,mimi sio shabiki wa simba mimi ni yanga ila nilitabiri kuwa simba watavuka,sema upuuzi wa wachezaji hawa wamekwamisha timu
1.onyango
2.saido
3.mzamiru
4.chama
Kocha robertinho anShindwa kubadilisha wachezaji mpaka dakika za mwisho anaingiza mchezaji mmoja kweli jana kazingua.
Waarabu walishakubali tayari