Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba wanapigwa leo
Nishakuripoti TCRA!SHIKA UBOHO WANGU.
Wacha wapigwe kama ngoma.Hali ndo ipo hivyo hamna namna Simba leo watashinda au kutoa draw. Hamna namna. Hilo lipo wazi kabisa. Wao vyovyote vile wajue watapokea kipigo. Watake wasitake.
Al Ahly ni team nzuri sana si team ya mchezo mchezo. Nadhani wengi mnaifahamu au kuisikia sikia. Wale ni Maarabu yameshachinja Ngamia. Tayari kila kitu.
Anaupwiru huyo mwacheHuyo jamaa anashida pahala aisee
Hali ndio ipo hivyo Hamna namna leo simba watashinda...ndicho ulichoandika, japo hukudhamiria uandike hivo, hapo ulipokosea ndio ukwel, atashindaHali ndo ipo hivyo hamna namna Simba leo watashinda au kutoa draw. Hamna namna. Hilo lipo wazi kabisa. Wao vyovyote vile wajue watapokea kipigo. Watake wasitake.
Al Ahly ni team nzuri sana si team ya mchezo mchezo. Nadhani wengi mnaifahamu au kuisikia sikia. Wale ni Maarabu yameshachinja Ngamia. Tayari kila kitu.
Kumbe anataka kufumuliwa 😁😂😂Anaupwiru huyo mwache
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwani vipi? Haya makasiriko dhidi ya Simba ni kwasababu kuna Mwanasimba alikubambia na kukulowesha mkiwa ndani ya Mwendokasi?[emoji848]
😆😆🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
astaghafirullahUngeahidi kutoa tIGO iwapo Simba ataambulia walau point moja
NINYI SI NDO FAMILIA YENU YOTE HUWA MNATOA HIYO KITU? ANYWAY.... MIMI SITUMII. BUT YULE DADA YAKO AKIOGA VIZURI NAWEZA MLA. MWANTUMU. HIVI YUPO WAPI SIKU HIZI?Ungeahidi kutoa tIGO iwapo Simba ataambulia walau point moja