Simba leo atake anapigwa, asitake anapigwa. Hamna namna

Simba leo atake anapigwa, asitake anapigwa. Hamna namna

Hali ndo ipo hivyo hamna namna Simba leo watashinda au kutoa draw. Hamna namna. Hilo lipo wazi kabisa. Wao vyovyote vile wajue watapokea kipigo. Watake wasitake.

Al Ahly ni team nzuri sana si team ya mchezo mchezo. Nadhani wengi mnaifahamu au kuisikia sikia. Wale ni Maarabu yameshachinja Ngamia. Tayari kila kitu.
Wacha wapigwe kama ngoma.
 
Screenshot_20240819-081110~2.png
 
Jana mmeliaibisha Taifa kwa mchezo wa Hovyo, leo heshima inarudi
 
Kwani vipi? Haya makasiriko dhidi ya Simba ni kwasababu kuna Mwanasimba alikubambia na kukulowesha mkiwa ndani ya Mwendokasi?🤔
 
Hali ndo ipo hivyo hamna namna Simba leo watashinda au kutoa draw. Hamna namna. Hilo lipo wazi kabisa. Wao vyovyote vile wajue watapokea kipigo. Watake wasitake.

Al Ahly ni team nzuri sana si team ya mchezo mchezo. Nadhani wengi mnaifahamu au kuisikia sikia. Wale ni Maarabu yameshachinja Ngamia. Tayari kila kitu.
Hali ndio ipo hivyo Hamna namna leo simba watashinda...ndicho ulichoandika, japo hukudhamiria uandike hivo, hapo ulipokosea ndio ukwel, atashinda
 
Ungeahidi kutoa tIGO iwapo Simba ataambulia walau point moja
NINYI SI NDO FAMILIA YENU YOTE HUWA MNATOA HIYO KITU? ANYWAY.... MIMI SITUMII. BUT YULE DADA YAKO AKIOGA VIZURI NAWEZA MLA. MWANTUMU. HIVI YUPO WAPI SIKU HIZI?
 
Back
Top Bottom