Simba leo atake anapigwa, asitake anapigwa. Hamna namna

Wacha wapigwe kama ngoma.
 
Jana mmeliaibisha Taifa kwa mchezo wa Hovyo, leo heshima inarudi
 
Kwani vipi? Haya makasiriko dhidi ya Simba ni kwasababu kuna Mwanasimba alikubambia na kukulowesha mkiwa ndani ya Mwendokasi?πŸ€”
 
Hali ndio ipo hivyo Hamna namna leo simba watashinda...ndicho ulichoandika, japo hukudhamiria uandike hivo, hapo ulipokosea ndio ukwel, atashinda
 
Litakuwa ni jambo jema sana kwa siku ya leo.
 
Ungeahidi kutoa tIGO iwapo Simba ataambulia walau point moja
NINYI SI NDO FAMILIA YENU YOTE HUWA MNATOA HIYO KITU? ANYWAY.... MIMI SITUMII. BUT YULE DADA YAKO AKIOGA VIZURI NAWEZA MLA. MWANTUMU. HIVI YUPO WAPI SIKU HIZI?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…