Albinoomweusi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 3,433
- 8,585
Jamani ile penalty ya pili hapana aiseee,hata sijashangilia,najua wachezaji wanachoka kwa ratiba iliyobanana ila waongeze umakini kwenye chances wana zo create,maana kama kipindi cha kwanza walipoteza chances nyingi sana
Tushukuru tu refa kwa ile controversial penalty ya pili.
Ile penati ina utata... Lakini ukiifatilia ni penati halali..... Azam jifunzeni slow motion jamani