bush striker
Senior Member
- Feb 16, 2019
- 102
- 249
Nadhani biashara wamefanya biashara hapa.
Acha Kimbelembele....Hao Biashara Wenyewe Ukiwauliza karibu Siku 10 Zimepita toka mmalize Mechi Yenu ya Tz, nini Kimewasibu mkashindwa Kukata tiketi ili Msafiri Mapema? Hawana majibu...! Wewe hicho Kihoro Umekitoa Wapi?
Vita Ya Mpira Asìkwambie Mtu..ni Uwanjani tu.