bush striker
Senior Member
- Feb 16, 2019
- 102
- 249
Acha Kimbelembele....Hao Biashara Wenyewe Ukiwauliza karibu Siku 10 Zimepita toka mmalize Mechi Yenu ya Tz, nini Kimewasibu mkashindwa Kukata tiketi ili Msafiri Mapema? Hawana majibu...! Wewe hicho Kihoro Umekitoa Wapi?
Vita Ya Mpira Asìkwambie Mtu..ni Uwanjani tu.
Ndugu nakuomba kwa taadhima ,uweke ushahidi hapa ili kwamna hili jambo lichukuliwe hatua stahiki.Mmefanikiwa kuwahujumu wasisafiri kwenda Libya kisa waliwabana mkatoka droo.
Mna ushaidi gani yanga alitoa pesa kwamba Simba afungwe na biashara?..
Ndugu nakuomba sana uweke ushahidi wako hapa au nitumie dm ili hatua zichukuliwe."Nina ushaidi wa kutosha kwamba Rais wa TFF pamoja na viongozi wandamizi wa Simba na baadhi wa serikali wameihujumu" uko wapi sasa mbona sio kitu kinachoweza ku back up unachosema.
Anyway maji masafi yamepungua bei kwa lita, kwahiyo jitahidi sana upate ya kutosha yana msaada katika nyakati kama hizi
Sasa kuna wajinga watakwambia ooh hao hawana wanachokifanya nikuibia tu timu uku yeye ata mia 500 hawezi kutoa.Mpira ni pesa sio porojo za mdomoni.Kwa Uyanga wangu ninazidi kuwakumbusha mashabiki na wanachama wenzangu tumthamini sana GSM....hata wale wa Simba pia wamthamini sana MO DEWJI....
Hapana mimi nilikuquote alichosema mtoa mada, mwenyewe nataka kuona huo ushahidi mkuu ndio maana I have surrounded the entire phrase in quotation marks.Sorry, it isn't me but him who claim so. Thank youNdugu nakuomba sana uweke ushahidi wako hapa au nitumie dm ili hatua zichukuliwe.
Weka huo ushahidi hapa wacha kupiga ramli.Mmefanikiwa kuwahujumu wasisafiri kwenda Libya kisa waliwabana mkatoka droo.
Mna ushaidi gani yanga alitoa pesa kwamba Simba afungwe na biashara...
Mashabiki wa UTO wana matatizo ya kisaikolojia maana kila mda wanawaza ni lini Simba itaacha kuwabeba wanaona huo uwezakano haupo ndio maanaUmeandika ujinga.Yaani Tff na simba ndio wameifanya biashara wasiwe na fedha zakuwapeleka libya.This is bullshit.Kwasababu wangekua na pesa wangeondoka kitambo ata hayo mambo ya ndege na vibali yasingekuwepo.mashabiki wa yanga mkoje nyie lakini?.
Lakini kasema ana ushahidi wa kutosha. Ushahidi ndio msingi wa hoja, laiti kama asingesema ana ushahidi wa kutosha basi ilikuwa kaandika pumba. Kwanini usihoji kuhusu ushahidi?Unatumia picha ya Nyerere kwenye avatar halafu unaandika vitu kama hivi ?
Simba waifanyie hujuma biashara ambayo hata pesa ya kusafirisha timu hawana.?Lakini kasema ana ushahidi wa kutosha. Ushahidi ndio msingi wa hoja, laiti kama asingesema ana ushahidi wa kutosha basi ilikuwa kaandika pumba. Kwanini usihoji kuhusu ushahidi?
Ndio tuombe alete huo ushahidi kabla ya kutumia hisia zetuSimba waifanyie hujuma biashara ambayo hata pesa ya kusafirisha timu hawana.?
Sasa mbona hujamwambia alete huo ushahidi ?Ndio tuombe alete huo ushahidi kabla ya kutumia hisia zetu