Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Mwaka wa maumivu tena huu kwa upande wenu. Hamna kikosi cha maajabu. Na hata huko kwenye bonanza la sijui Super League! Mnaenda tu kuliaibisha Taifa.Ligi ianze tuu..mwaka wetu huu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwaka wa maumivu tena huu kwa upande wenu. Hamna kikosi cha maajabu. Na hata huko kwenye bonanza la sijui Super League! Mnaenda tu kuliaibisha Taifa.Ligi ianze tuu..mwaka wetu huu
Hiyo ndoto ya mwendawazimu. Mwaka huu tutawadhalilisha sanaHivyo viporo mtavitafuna kwa kikosi gani hasa mlichokuwa nacho? Nyinyi mjiandae tu kwa maumivu.
Na niwahakikishie, Yanga ndiye Bingwa tena msimu huu.
Maneno ya kujifariji toka kwa mlevi wa bohaMwaka wa maumivu tena huu kwa upande wenu. Hamna kikosi cha maajabu. Na hata huko kwenye bonanza la sijui Super League! Mnaenda tu kuliaibisha Taifa.
Una ugonjwa wa akili ukicheza na Al Ahly ndio huwezi kufungwa na Ihefu?We pumbavu unaejua mpira ume comment wapi Sasa? Kwa hiyo werevu wako wa mpira ndio unakuambia kweli ni mtego?
Kama Super League yenye pesa ndefu ndefu unaiita bonanza, lile kombe la Shirikisho tuliite vipi?Mwaka wa maumivu tena huu kwa upande wenu. Hamna kikosi cha maajabu. Na hata huko kwenye bonanza la sijui Super League! Mnaenda tu kuliaibisha Taifa.
Tangu nigundue kuwa wanayanga ni wehu, nimewashauri vijana wa mtaani kwangu wahamie simba. Kwa sasa vijana wapo simba na wanafuraha sana.Mwaka wa maumivu tena huu kwa upande wenu. Hamna kikosi cha maajabu. Na hata huko kwenye bonanza la sijui Super League! Mnaenda tu kuliaibisha Taifa.
Simba hapumziki anaenda kucheza SUPER LIGI. Mechi ngumu kuliko hizo za ligi.Simba itapumzika kwa kipindi cha mwezi mmoja kucheza ligi ya bongo kuanzia oktoba 20 hadi November ili iweze kushiriki vyema kombe la Super League.
Hata hivyo Simba wawe makini sana kwani baada ya hapo watapangiwa ratiba ngumu sana ambayo itawafanya washindwe kupambana kupata matokeo, watakuwa wakicheza jmos, jumanne, ijumaa ili mradi tu bora liende, hapo wazee wa jangwani watakuwa washaongoza kwa pointi 10 huku sisi tumebaki kulalamikiana t.
Nawaapia mtapangiwa mechi mfululizo ili mshindwe kufanya vzr.Hili liangalieni
Bila shaka nyinyi ni watu wasahaulifu sana.Kama Super League yenye pesa ndefu ndefu unaiita bonanza, lile kombe la Shirikisho tuliite vipi?
Bora wasahaulifu nyie hamna akili kabisaBila shaka nyinyi ni watu wasahaulifu sana.
Jogoo hafi kwa utitiri
azam Huwa unakufanya Nini?,Yaani tutoke kupimana ubavu na kina Al Ahly, Mamelody, Wydad Kisha tuje tufungwe na Coastal Union au Ihefu?
Hebu tuambie huo umakini unaotakiwa.Simba itapumzika kwa kipindi cha mwezi mmoja kucheza ligi ya bongo kuanzia oktoba 20 hadi November ili iweze kushiriki vyema kombe la Super League.
Hata hivyo Simba wawe makini sana kwani baada ya hapo watapangiwa ratiba ngumu sana ambayo itawafanya washindwe kupambana kupata matokeo, watakuwa wakicheza jmos, jumanne, ijumaa ili mradi tu bora liende, hapo wazee wa jangwani watakuwa washaongoza kwa pointi 10 huku sisi tumebaki kulalamikiana t.
Nawaapia mtapangiwa mechi mfululizo ili mshindwe kufanya vzr.Hili liangalieni
Sema kufungwa kupimana ubavu mnao?Yaani tutoke kupimana ubavu na kina Al Ahly, Mamelody, Wydad Kisha tuje tufungwe na Coastal Union au Ihefu?
Yaani tuache kufukuzia mabilioni ya Super Cup halafu tujikite kufukuzia pesa ya madafu ya NBCL? Hiyo akili ya kijinga wanayo Yanga tu, maana wenye akili kule ni wawili tu.
Hii comment ni zaidi ya mbumbumbu wa soka na huna hata ABCD yoyote ya mpira Kwa asilimia 150.Yaani tutoke kupimana ubavu na kina Al Ahly, Mamelody, Wydad Kisha tuje tufungwe na Coastal Union au Ihefu?
Wewe ni pumbavu na mbumbumbu Mkuu humu. Hili jukwaa lina kila aina ya watu na sio muda wote tuta comment unavyotaka wewe iwe. Kwa hiyo kukiwa na hizo injuries na uchovu ndio mtego wenyewe? Kwa hiyo ni lazima zitokee injuries au huo unaouita uchovu? Yaani ni lazima tu wataumia watake wasitake?Hii comment ni zaidi ya mbumbumbu wa soka na huna hata ABCD yoyote ya mpira Kwa asilimia 150.
Hujui kuna uchovu,
Hujui kuna ratiba ngumu kufidia mechi,
Kuna wachezaji muhimu kupata majeraha kwasababu ya level ya ushindani.
Tunatunza risiti we piga kelele tu na matumaini hewa yako.Ligi ianze tuu..mwaka wetu huu
Yanga wana hazina kubwa sana ya wapumbavuWewe ni pumbavu na mbumbumbu Mkuu humu. Hili jukwaa lina kila aina ya watu na sio muda wote tuta comment unavyotaka wewe iwe. Kwa hiyo kukiwa na hizo injuries na uchovu ndio mtego wenyewe? Kwa hiyo ni lazima zitokee injuries au huo unaouita uchovu? Yaani ni lazima tu wataumia watake wasitake?
Ficha ujinga wako.