Simba, mmewekewa mtego kutocheza NBC premier league kuanzia Oktoba hadi November, zindukeni

Simba, mmewekewa mtego kutocheza NBC premier league kuanzia Oktoba hadi November, zindukeni

Wewe ni pumbavu na mbumbumbu Mkuu humu. Hili jukwaa lina kila aina ya watu na sio muda wote tuta comment unavyotaka wewe iwe. Kwa hiyo kukiwa na hizo injuries na uchovu ndio mtego wenyewe? Kwa hiyo ni lazima zitokee injuries au huo unaouita uchovu? Yaani ni lazima tu wataumia watake wasitake?

Ficha ujinga wako.
Lazima mjinga aelimishwe maana mjinga akielimishwa anaelewa na ujinga wako dawa ipo unapona bila shida
 
We mpaka leo hujui kuwa simba sports ni last born wa caf,rais wa tff mwenyewe ni simba damu ,subiri uone maajabu ya soka letu[emoji23]
 
Wakipigwa game za ndani watakuja na hoja hii
" Uchovu wa wachezaji kuringana na ratiba ngumu"
Na wakishinda viporo vyote mtakuja na malalamiko wanapendelewa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hiyo siafiki bora ligi usimame kutakuwa na upangaji wa matokeo
 
Back
Top Bottom