Simba, mmewekewa mtego kutocheza NBC premier league kuanzia Oktoba hadi November, zindukeni

Lazima mjinga aelimishwe maana mjinga akielimishwa anaelewa na ujinga wako dawa ipo unapona bila shida
 
We mpaka leo hujui kuwa simba sports ni last born wa caf,rais wa tff mwenyewe ni simba damu ,subiri uone maajabu ya soka letu[emoji23]
 
Wakipigwa game za ndani watakuja na hoja hii
" Uchovu wa wachezaji kuringana na ratiba ngumu"
Na wakishinda viporo vyote mtakuja na malalamiko wanapendelewa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hiyo siafiki bora ligi usimame kutakuwa na upangaji wa matokeo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…