Simba mnajipiga risasi wenyewe na zitawaua wenyewe, huyo Lionel Atteba mnayetaka kumsajili rekodi zake hivi karibuni mmezifatilia?

Tatzo ni YANGA sio usajili wa Simba. Mkiangalia Yanga ilivyoshona hata confidence mnakosa. Jamaa ni bonge la striker mpeni muda....
 
Mchezaji kutoshine team A hakumfanyi asi shine team B .,,
Alaf magoma wenu kakata rufaa unajua ilo ?
 
Nini maana ya kuwa na uwekezaji Kama huwezi kununua wachezaji wazuri
 
Mukwala hakuna striker pale Ahoua naye anakimbiakimbia tu hovyo uwanjani Mutale ni saido aliyezubaa bora hata saido.Cha msingi Ong bak aondoke na Mo atuachie timu yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…