Simba msiwapotoshe mashabiki wenu tuweke rekodi sawa, kataa uongo

Simba msiwapotoshe mashabiki wenu tuweke rekodi sawa, kataa uongo

[emoji460]️KATAA KUDANGANYWA KATAA KATAKATA UONGO[emoji460]️

Jamani kwa mliozaliwa miaka ya 2000 nataka niwape somo kidogo, hakuna timu kutoka Tanzania iliyowahi kufika Nusu Fainali Michuano ya CAF. 1992 Simba alicheza Fainali Kombe la Washindi liliondaliwa na tajiri kutoka Nigeria, yaani hayo yalikuwa mashindano ya muda tu na yalishirikisha nchi za Weusi tu hakukuwa wala na Nchi za Kaskazini zile za Waarabu. Tuweke rekodi sawa. [emoji23]

Simba alikwenda kwenye hii michuano baada ya kumaliza nafasi ya 3 Ligi Daraja la Kwanza. Leo nawapa elimu bila ada.
[emoji3591]Toka lianzishwe Kombe la Shirikisho mwaka 1972 kwa tanzania iko hv[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

[emoji2389]Yanga
Makundi x [emoji2391](2016,2018 na 2023)
Robo x [emoji2389] 2023
Nusu ~ Hakuna
Fainali ~ Hakuna

[emoji2390]Simba
Makundi x [emoji2389](2022)
Robo x [emoji2389] (2022)
Nusu ~ Hakuna
Fainali ~ Hakuna

Credit mtandaoni.
@Dr Matola PhD hiyo PhD ya ujinga?????
 
Dah! Mimi si mfuatiliaji wa soka lakini hapa umeandika kishabiki mno bila tafiti. Hivi mashindano ya Afrika Mashariki kudhaminiwa na Kagame yanaondoa ukweli kwamba ni ya Afrika Mashariki? Na unaposema nchi za kiarabu hazikushiriki ilikuwaje Simba akawatoa El Harrach ya Algeria kwenye robo fainali kabla hajakutana na Aviacao ya Angola kwenye nusu?...
uongo huu
 
Amepata mfuasi! Hata Manara aliposema hakuna timu ya Tanzania iliyowahi kuongoza kundi vilabu vya Afrika kwa kufikisha alama 13, alipata pia wafuasi [emoji16]
Yakijazwa yanajaaga kama manyumbu?????

Nyumbu sc[emoji1787][emoji1787]
 
⚽️KATAA KUDANGANYWA KATAA KATAKATA UONGO⚽️

Jamani kwa mliozaliwa miaka ya 2000 nataka niwape somo kidogo, hakuna timu kutoka Tanzania iliyowahi kufika Nusu Fainali Michuano ya CAF. 1992 Simba alicheza Fainali Kombe la Washindi liliondaliwa na tajiri kutoka Nigeria, yaani hayo yalikuwa mashindano ya muda tu na yalishirikisha nchi za Weusi tu hakukuwa wala na Nchi za Kaskazini zile za Waarabu. Tuweke rekodi sawa. 😂

Simba alikwenda kwenye hii michuano baada ya kumaliza nafasi ya 3 Ligi Daraja la Kwanza. Leo nawapa elimu bila ada.
➡️Toka lianzishwe Kombe la Shirikisho mwaka 1972 kwa tanzania iko hv👇👇👇👇👇👇

1️⃣Yanga
Makundi x 3️⃣(2016,2018 na 2023)
Robo x 1️⃣ 2023
Nusu ~ Hakuna
Fainali ~ Hakuna

2️⃣Simba
Makundi x 1️⃣(2022)
Robo x 1️⃣ (2022)
Nusu ~ Hakuna
Fainali ~ Hakuna

Credit mtandaoni.
Matahira humu Ni mengi Sana lakini wewe ndio boss wao. Simba 1993 walifika fainali ya kombe la CAF. Wakiwa na akina Mohamedi mwameja, Malota Soma, Edward Chumila akiwa mfungaji Bora na waliwatoa waarabu wawili njiani humo
 
[emoji460]️KATAA KUDANGANYWA KATAA KATAKATA UONGO[emoji460]️

Jamani kwa mliozaliwa miaka ya 2000 nataka niwape somo kidogo, hakuna timu kutoka Tanzania iliyowahi kufika Nusu Fainali Michuano ya CAF. 1992 Simba alicheza Fainali Kombe la Washindi liliondaliwa na tajiri kutoka Nigeria, yaani hayo yalikuwa mashindano ya muda tu na yalishirikisha nchi za Weusi tu hakukuwa wala na Nchi za Kaskazini zile za Waarabu. Tuweke rekodi sawa. [emoji23]

Simba alikwenda kwenye hii michuano baada ya kumaliza nafasi ya 3 Ligi Daraja la Kwanza. Leo nawapa elimu bila ada.
[emoji3591]Toka lianzishwe Kombe la Shirikisho mwaka 1972 kwa tanzania iko hv[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

[emoji2389]Yanga
Makundi x [emoji2391](2016,2018 na 2023)
Robo x [emoji2389] 2023
Nusu ~ Hakuna
Fainali ~ Hakuna

[emoji2390]Simba
Makundi x [emoji2389](2022)
Robo x [emoji2389] (2022)
Nusu ~ Hakuna
Fainali ~ Hakuna

Credit mtandaoni.
Nikuulize swali Aston villa ana UEFA champions league au Hana Hilo jibu litatosha Mimi kukuamini wewe au kujua Nini unamaanisha????
 
[emoji460]️KATAA KUDANGANYWA KATAA KATAKATA UONGO[emoji460]️

Jamani kwa mliozaliwa miaka ya 2000 nataka niwape somo kidogo, hakuna timu kutoka Tanzania iliyowahi kufika Nusu Fainali Michuano ya CAF. 1992 Simba alicheza Fainali Kombe la Washindi liliondaliwa na tajiri kutoka Nigeria, yaani hayo yalikuwa mashindano ya muda tu na yalishirikisha nchi za Weusi tu hakukuwa wala na Nchi za Kaskazini zile za Waarabu. Tuweke rekodi sawa. [emoji23]

Simba alikwenda kwenye hii michuano baada ya kumaliza nafasi ya 3 Ligi Daraja la Kwanza. Leo nawapa elimu bila ada.
[emoji3591]Toka lianzishwe Kombe la Shirikisho mwaka 1972 kwa tanzania iko hv[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

[emoji2389]Yanga
Makundi x [emoji2391](2016,2018 na 2023)
Robo x [emoji2389] 2023
Nusu ~ Hakuna
Fainali ~ Hakuna

[emoji2390]Simba
Makundi x [emoji2389](2022)
Robo x [emoji2389] (2022)
Nusu ~ Hakuna
Fainali ~ Hakuna

Credit mtandaoni.
Usituletee ujinga hapa. Simba ilifika nusu fainali 1974
 
Matahira humu Ni mengi Sana lakini wewe ndio boss wao. Simba 1993 walifika fainali ya kombe la CAF. Wakiwa na akina Mohamedi mwameja, Malota Soma, Edward Chumila akiwa mfungaji Bora na waliwatoa waarabu wawili njiani humo
Omondii, lilikuwa ni bonanza la Mashood Abiola lililosimamiwa na CAF.
 
[emoji460]️KATAA KUDANGANYWA KATAA KATAKATA UONGO[emoji460]️

Jamani kwa mliozaliwa miaka ya 2000 nataka niwape somo kidogo, hakuna timu kutoka Tanzania iliyowahi kufika Nusu Fainali Michuano ya CAF. 1992 Simba alicheza Fainali Kombe la Washindi liliondaliwa na tajiri kutoka Nigeria, yaani hayo yalikuwa mashindano ya muda tu na yalishirikisha nchi za Weusi tu hakukuwa wala na Nchi za Kaskazini zile za Waarabu. Tuweke rekodi sawa. [emoji23]

Simba alikwenda kwenye hii michuano baada ya kumaliza nafasi ya 3 Ligi Daraja la Kwanza. Leo nawapa elimu bila ada.
[emoji3591]Toka lianzishwe Kombe la Shirikisho mwaka 1972 kwa tanzania iko hv[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]

[emoji2389]Yanga
Makundi x [emoji2391](2016,2018 na 2023)
Robo x [emoji2389] 2023
Nusu ~ Hakuna
Fainali ~ Hakuna

[emoji2390]Simba
Makundi x [emoji2389](2022)
Robo x [emoji2389] (2022)
Nusu ~ Hakuna
Fainali ~ Hakuna

Credit mtandaoni.
CAF cup of champions Semi fainal 1974

Simba vs Ghazl Mehalla

Leo Ndiyo CAFCL.
Au jina likibadilika Basi na historia inakufa.
 
Performance in CAF competitions

The highest success that Simba achieved was reaching the final of the CAF Cup in 1993, where they lost to Stella Club of Côte d'Ivoire. It was the highest continental achievement by a Tanzanian team to date. In 2003 Simba beat the then-reigning champions Zamalek of Egypt in the CAF Champions League second round of qualifiers to qualify to the group stages, after having beat Santos of South Africa in the first round.
1974 semi finals


Source: wikipedia
Wikipedia haitambuliki kwenye research studies. Lete source ingine kama CAF website etc

Haya ni maandalizi ya wanasimba kujiweka sawa na kujifariji kwa kuiponda Yanga baada ya kutolewa CAF champions league mnamo ijumaa hii!
 
Back
Top Bottom