Simba mtakachoambulia kwenye Super League ni zile b.5 mlizopewa za maandalizi vinginevyo hamna chenu mbele ya Al Ahly

Simba mtakachoambulia kwenye Super League ni zile b.5 mlizopewa za maandalizi vinginevyo hamna chenu mbele ya Al Ahly

Ligi yako uko nafasi ya ngapi? Unatuletea habari za kipindi cha korona hapa, kwa sasa akuna korona utapata stahiki yako ipasavyo iwe ligi kuu, iwe klabu bingwa, kokote uko utapimwa perfomance yako ikoje kwa sasa na sio vinginevyo, kama huo msimamo utakuokoa basi copy na kupaste kwa kina kibu denis mkaongoze tena makundi tuone!
Hivi mashabiki wa utopolo mnashiriki mjadala kwenye nyuzi zinazohusu African Football League kama nani? Timu yenu haimo, hampaswi kushiriki mijadala. Yaani shabiki wa utopolo hata ukianzisha uzi kuhusu African Football League hupaswi kurudi tena kuchangia, topic inakuwa closed kwako, unawaachia wenye mashindano yao
 
Ni vile tu kukaza roho na kuondoa aibu but kiuhalisia simba alikuwa anatamaniwa na kila timu iliyokuwepo kwenye hii michuano, na kwa bahati mbaya kaangukia mdomoni mwa wababe wa misri!

Kiufupi ni kwamba mwendo mmeumaliza mechi ya kwanza tu out! Itakuwa ni asante kwa kushiriki, labda walale wanaloga uwanja mpaka asubuhi na bado mtapigwa tu!

Nimesikia mashabiki wao wanasema ni mechi ya miksoni kwa mara nyingine atawafunga sasa sijui ni miksoni yupi uyo yule wa mwaka 2021 au uyu aliyebaki jina tu aliyesajiliwa kufurahisha genge?

Povu ni ruksa kwa wafia timu but ukweli utabaki umesimama daima Simba hii aina timu ya kuisumbua Al ahly iwe kwa mkapa ama kokote pale kwa kiwango walichonacho na mapungufu mengi ya kiufundi waliyonayo!
Bil 5 au USD 1m (2.4 B Tsh) ,maana timu zote zimepewa USD 1m kwa ajili ya maandalizi na bingwa atachukua USD 11m
 
Ata iyo buku ukupewa, ndiyo maana ikaitwa ngao ya hisani, pesa yote inaelekezwa kwenye jamii, uwezi kujitapa eti umebeba ngao ya jamii wakati wenzako wanahesabu makombe rasmi ambayo ni ligi kuu, na FA ayo ndiyo makombe rasmi kama nyie ni wanaume kabebeni ligi tuone kama mtaweza
 
Ata iyo buku ukupewa, ndiyo maana ikaitwa ngao ya hisani, pesa yote inaelekezwa kwenye jamii, uwezi kujitapa eti umebeba ngao ya jamii wakati wenzako wanahesabu makombe rasmi ambayo ni ligi kuu, na FA ayo ndiyo makombe rasmi kama nyie ni wanaume kabebeni ligi tuone kama mtaweza
Duuh! Leo hii yanga hawahesabu ngao ya jamii! Basi sawa
 
Bil 5 au USD 1m (2.4 B Tsh) ,maana timu zote zimepewa USD 1m kwa ajili ya maandalizi na bingwa atachukua USD 11m
Kumbe ata iyo b.5 waliyosema wamepewa ya maandalizi nayo waliongeza tarakimu kama kawaida yao, awa watu watafika mbinguni wamechoka sana, wako vizuri kwenye propaganda uchwara
 
Hivi mashabiki wa utopolo mnashiriki mjadala kwenye nyuzi zinazohusu African Football League kama nani? Timu yenu haimo, hampaswi kushiriki mijadala. Yaani shabiki wa utopolo hata ukianzisha uzi kuhusu African Football League hupaswi kurudi tena kuchangia, topic inakuwa closed kwako, unawaachia wenye mashindano yao
Wenye mashindano ni timu kama Aly ahly sio iyo timu yako, wewe kazi yako unakwenda kuchekesha walionuna na sio kushindana mtani!
 
Ni vile tu kukaza roho na kuondoa aibu but kiuhalisia simba alikuwa anatamaniwa na kila timu iliyokuwepo kwenye hii michuano, na kwa bahati mbaya kaangukia mdomoni mwa wababe wa misri!

Kiufupi ni kwamba mwendo mmeumaliza mechi ya kwanza tu out! Itakuwa ni asante kwa kushiriki, labda walale wanaloga uwanja mpaka asubuhi na bado mtapigwa tu!

Nimesikia mashabiki wao wanasema ni mechi ya miksoni kwa mara nyingine atawafunga sasa sijui ni miksoni yupi uyo yule wa mwaka 2021 au uyu aliyebaki jina tu aliyesajiliwa kufurahisha genge?

Povu ni ruksa kwa wafia timu but ukweli utabaki umesimama daima Simba hii aina timu ya kuisumbua Al ahly iwe kwa mkapa ama kokote pale kwa kiwango walichonacho na mapungufu mengi ya kiufundi waliyonayo!
Game 2 unachukua 2.4b hata ukifugwa goal 20 bado ni biashara nzuri.
 
Ni vile tu kukaza roho na kuondoa aibu but kiuhalisia simba alikuwa anatamaniwa na kila timu iliyokuwepo kwenye hii michuano, na kwa bahati mbaya kaangukia mdomoni mwa wababe wa misri!

Kiufupi ni kwamba mwendo mmeumaliza mechi ya kwanza tu out! Itakuwa ni asante kwa kushiriki, labda walale wanaloga uwanja mpaka asubuhi na bado mtapigwa tu!

Nimesikia mashabiki wao wanasema ni mechi ya miksoni kwa mara nyingine atawafunga sasa sijui ni miksoni yupi uyo yule wa mwaka 2021 au uyu aliyebaki jina tu aliyesajiliwa kufurahisha genge?

Povu ni ruksa kwa wafia timu but ukweli utabaki umesimama daima Simba hii aina timu ya kuisumbua Al ahly iwe kwa mkapa ama kokote pale kwa kiwango walichonacho na mapungufu mengi ya kiufundi waliyonayo!
Hapo muhimu ni biashara kubwa iliyofanyika. Jaribu kufikiria, unapewa viti maalum na bilioni 5 juu. Bado hawajajitokeza wadhamani watakaokudhamini kwenye hizo mechi mbili za home and away.
 
Ni vile tu kukaza roho na kuondoa aibu but kiuhalisia simba alikuwa anatamaniwa na kila timu iliyokuwepo kwenye hii michuano, na kwa bahati mbaya kaangukia mdomoni mwa wababe wa misri!

Kiufupi ni kwamba mwendo mmeumaliza mechi ya kwanza tu out! Itakuwa ni asante kwa kushiriki, labda walale wanaloga uwanja mpaka asubuhi na bado mtapigwa tu!

Nimesikia mashabiki wao wanasema ni mechi ya miksoni kwa mara nyingine atawafunga sasa sijui ni miksoni yupi uyo yule wa mwaka 2021 au uyu aliyebaki jina tu aliyesajiliwa kufurahisha genge?

Povu ni ruksa kwa wafia timu but ukweli utabaki umesimama daima Simba hii aina timu ya kuisumbua Al ahly iwe kwa mkapa ama kokote pale kwa kiwango walichonacho na mapungufu mengi ya kiufundi waliyonayo!
Kwenye hizo 5b Mo anadai 3b
 
Ni vile tu kukaza roho na kuondoa aibu but kiuhalisia simba alikuwa anatamaniwa na kila timu iliyokuwepo kwenye hii michuano, na kwa bahati mbaya kaangukia mdomoni mwa wababe wa misri!

Kiufupi ni kwamba mwendo mmeumaliza mechi ya kwanza tu out! Itakuwa ni asante kwa kushiriki, labda walale wanaloga uwanja mpaka asubuhi na bado mtapigwa tu!

Nimesikia mashabiki wao wanasema ni mechi ya miksoni kwa mara nyingine atawafunga sasa sijui ni miksoni yupi uyo yule wa mwaka 2021 au uyu aliyebaki jina tu aliyesajiliwa kufurahisha genge?

Povu ni ruksa kwa wafia timu but ukweli utabaki umesimama daima Simba hii aina timu ya kuisumbua Al ahly iwe kwa mkapa ama kokote pale kwa kiwango walichonacho na mapungufu mengi ya kiufundi waliyonayo!
Exactly uko sahihi, lengo la haya mashindano ni kuinua kipato kwa vilabu sio kutangaza ukubwa maana wote ni wakubwa tayari, kumbuka zalan na asas hawapo

Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
 
Ni vile tu kukaza roho na kuondoa aibu but kiuhalisia simba alikuwa anatamaniwa na kila timu iliyokuwepo kwenye hii michuano, na kwa bahati mbaya kaangukia mdomoni mwa wababe wa misri!

Kiufupi ni kwamba mwendo mmeumaliza mechi ya kwanza tu out! Itakuwa ni asante kwa kushiriki, labda walale wanaloga uwanja mpaka asubuhi na bado mtapigwa tu!

Nimesikia mashabiki wao wanasema ni mechi ya miksoni kwa mara nyingine atawafunga sasa sijui ni miksoni yupi uyo yule wa mwaka 2021 au uyu aliyebaki jina tu aliyesajiliwa kufurahisha genge?

Povu ni ruksa kwa wafia timu but ukweli utabaki umesimama daima Simba hii aina timu ya kuisumbua Al ahly iwe kwa mkapa ama kokote pale kwa kiwango walichonacho na mapungufu mengi ya kiufundi waliyonayo!
Kuna aibu taifa inaenda kulipata...kuna timu inaenda kupasuliwa kimadharau
 
Ni vile tu kukaza roho na kuondoa aibu but kiuhalisia simba alikuwa anatamaniwa na kila timu iliyokuwepo kwenye hii michuano, na kwa bahati mbaya kaangukia mdomoni mwa wababe wa misri!

Kiufupi ni kwamba mwendo mmeumaliza mechi ya kwanza tu out! Itakuwa ni asante kwa kushiriki, labda walale wanaloga uwanja mpaka asubuhi na bado mtapigwa tu!

Nimesikia mashabiki wao wanasema ni mechi ya miksoni kwa mara nyingine atawafunga sasa sijui ni miksoni yupi uyo yule wa mwaka 2021 au uyu aliyebaki jina tu aliyesajiliwa kufurahisha genge?

Povu ni ruksa kwa wafia timu but ukweli utabaki umesimama daima Simba hii aina timu ya kuisumbua Al ahly iwe kwa mkapa ama kokote pale kwa kiwango walichonacho na mapungufu mengi ya kiufundi waliyonayo!
tukiwa wakweli,siwakatishi tamaa ila sima ya mwaka huu usajili wake sio wa kutegemea kitu cha maana sana. ila kwa yanga, watafika mbali mno.
 
Back
Top Bottom