Simba mtakachoambulia kwenye Super League ni zile b.5 mlizopewa za maandalizi vinginevyo hamna chenu mbele ya Al Ahly

Simba mtakachoambulia kwenye Super League ni zile b.5 mlizopewa za maandalizi vinginevyo hamna chenu mbele ya Al Ahly

Kile unachokiandika hapa ni MATOKEO ya Akili yako, mawazo yako na Maisha yako kwa ujumla.

Ukiandika mambo Mabaya Kila wakati MATOKEO yake ni kuwa CHUKI IMEKUWA Rohoni.

Ukiandika UJINGA ni kwamba UPUMBAVU umefurika KICHWANI MWAKO.
 
Ni vile tu kukaza roho na kuondoa aibu but kiuhalisia simba alikuwa anatamaniwa na kila timu iliyokuwepo kwenye hii michuano, na kwa bahati mbaya kaangukia mdomoni mwa wababe wa misri!

Kiufupi ni kwamba mwendo mmeumaliza mechi ya kwanza tu out! Itakuwa ni asante kwa kushiriki, labda walale wanaloga uwanja mpaka asubuhi na bado mtapigwa tu!

Nimesikia mashabiki wao wanasema ni mechi ya miksoni kwa mara nyingine atawafunga sasa sijui ni miksoni yupi uyo yule wa mwaka 2021 au uyu aliyebaki jina tu aliyesajiliwa kufurahisha genge?

Povu ni ruksa kwa wafia timu but ukweli utabaki umesimama daima Simba hii aina timu ya kuisumbua Al ahly iwe kwa mkapa ama kokote pale kwa kiwango walichonacho na mapungufu mengi ya kiufundi waliyonayo!
Tabia za wabongo bwana. Negativity kwenda mbele.
 
Simba hii kwetu wala haijakuja kama surprise tulijua tunacheza The African League na lazima tutacheza na timu zenye hadhi ya Al Ahly na ni lazima tuzitoe hizo ili kusimika ukubwa wetu barani Africa
Huku kwenye The African League usitegemee kucheza na Asas ya Djibout ama Mlandege ya Zanzibar huku ni magiant haswaa na sisi ni kati yao
 
Bil 5 au USD 1m (2.4 B Tsh) ,maana timu zote zimepewa USD 1m kwa ajili ya maandalizi na bingwa atachukua USD 11m
Hivyo viwango mnatoa wapi??

Kiuhalisia, hiyo league siyo Tena Super league ndio maana inaitwa African Football League.


CAF championship inabaki kuwa league kubwa.


Mshindi wa AFL atapata $2.5M.


Runner-up ni $2M.


Washiriki ni $700,000.
 
Ni vile tu kukaza roho na kuondoa aibu but kiuhalisia simba alikuwa anatamaniwa na kila timu iliyokuwepo kwenye hii michuano, na kwa bahati mbaya kaangukia mdomoni mwa wababe wa misri!

Kiufupi ni kwamba mwendo mmeumaliza mechi ya kwanza tu out! Itakuwa ni asante kwa kushiriki, labda walale wanaloga uwanja mpaka asubuhi na bado mtapigwa tu!

Nimesikia mashabiki wao wanasema ni mechi ya miksoni kwa mara nyingine atawafunga sasa sijui ni miksoni yupi uyo yule wa mwaka 2021 au uyu aliyebaki jina tu aliyesajiliwa kufurahisha genge?

Povu ni ruksa kwa wafia timu but ukweli utabaki umesimama daima Simba hii aina timu ya kuisumbua Al ahly iwe kwa mkapa ama kokote pale kwa kiwango walichonacho na mapungufu mengi ya kiufundi waliyonayo!
Participation ni dola 700,000 tu si vinginevyo.
 
Ni vile tu kukaza roho na kuondoa aibu but kiuhalisia simba alikuwa anatamaniwa na kila timu iliyokuwepo kwenye hii michuano, na kwa bahati mbaya kaangukia mdomoni mwa wababe wa misri!

Kiufupi ni kwamba mwendo mmeumaliza mechi ya kwanza tu out! Itakuwa ni asante kwa kushiriki, labda walale wanaloga uwanja mpaka asubuhi na bado mtapigwa tu!

Nimesikia mashabiki wao wanasema ni mechi ya miksoni kwa mara nyingine atawafunga sasa sijui ni miksoni yupi uyo yule wa mwaka 2021 au uyu aliyebaki jina tu aliyesajiliwa kufurahisha genge?

Povu ni ruksa kwa wafia timu but ukweli utabaki umesimama daima Simba hii aina timu ya kuisumbua Al ahly iwe kwa mkapa ama kokote pale kwa kiwango walichonacho na mapungufu mengi ya kiufundi waliyonayo!
Sawa dada. Unateseka na mangap
 
Back
Top Bottom