CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Tabia za wabongo bwana. Negativity kwenda mbele.Ni vile tu kukaza roho na kuondoa aibu but kiuhalisia simba alikuwa anatamaniwa na kila timu iliyokuwepo kwenye hii michuano, na kwa bahati mbaya kaangukia mdomoni mwa wababe wa misri!
Kiufupi ni kwamba mwendo mmeumaliza mechi ya kwanza tu out! Itakuwa ni asante kwa kushiriki, labda walale wanaloga uwanja mpaka asubuhi na bado mtapigwa tu!
Nimesikia mashabiki wao wanasema ni mechi ya miksoni kwa mara nyingine atawafunga sasa sijui ni miksoni yupi uyo yule wa mwaka 2021 au uyu aliyebaki jina tu aliyesajiliwa kufurahisha genge?
Povu ni ruksa kwa wafia timu but ukweli utabaki umesimama daima Simba hii aina timu ya kuisumbua Al ahly iwe kwa mkapa ama kokote pale kwa kiwango walichonacho na mapungufu mengi ya kiufundi waliyonayo!
Hivyo viwango mnatoa wapi??Bil 5 au USD 1m (2.4 B Tsh) ,maana timu zote zimepewa USD 1m kwa ajili ya maandalizi na bingwa atachukua USD 11m
Participation ni dola 700,000 tu si vinginevyo.Ni vile tu kukaza roho na kuondoa aibu but kiuhalisia simba alikuwa anatamaniwa na kila timu iliyokuwepo kwenye hii michuano, na kwa bahati mbaya kaangukia mdomoni mwa wababe wa misri!
Kiufupi ni kwamba mwendo mmeumaliza mechi ya kwanza tu out! Itakuwa ni asante kwa kushiriki, labda walale wanaloga uwanja mpaka asubuhi na bado mtapigwa tu!
Nimesikia mashabiki wao wanasema ni mechi ya miksoni kwa mara nyingine atawafunga sasa sijui ni miksoni yupi uyo yule wa mwaka 2021 au uyu aliyebaki jina tu aliyesajiliwa kufurahisha genge?
Povu ni ruksa kwa wafia timu but ukweli utabaki umesimama daima Simba hii aina timu ya kuisumbua Al ahly iwe kwa mkapa ama kokote pale kwa kiwango walichonacho na mapungufu mengi ya kiufundi waliyonayo!
Sawa dada. Unateseka na mangapNi vile tu kukaza roho na kuondoa aibu but kiuhalisia simba alikuwa anatamaniwa na kila timu iliyokuwepo kwenye hii michuano, na kwa bahati mbaya kaangukia mdomoni mwa wababe wa misri!
Kiufupi ni kwamba mwendo mmeumaliza mechi ya kwanza tu out! Itakuwa ni asante kwa kushiriki, labda walale wanaloga uwanja mpaka asubuhi na bado mtapigwa tu!
Nimesikia mashabiki wao wanasema ni mechi ya miksoni kwa mara nyingine atawafunga sasa sijui ni miksoni yupi uyo yule wa mwaka 2021 au uyu aliyebaki jina tu aliyesajiliwa kufurahisha genge?
Povu ni ruksa kwa wafia timu but ukweli utabaki umesimama daima Simba hii aina timu ya kuisumbua Al ahly iwe kwa mkapa ama kokote pale kwa kiwango walichonacho na mapungufu mengi ya kiufundi waliyonayo!