Majok majok
JF-Expert Member
- Aug 3, 2023
- 783
- 2,057
Ni jambo la hatari sana ambalo viongozi wa Simba wamekuwa wakilifanya bila wao kulitambua nalo ni propaganda badala ya ukweli na uhalisia wa mpira wa miguu.
Kwa Sasa hivi wanajinasibu kwamba wanatengeneza Simba mpya lakini hapo hapo wanashindwa kuwaambia ukweli wanachama wao ambao wanayo matarajio makubwa sana na simba kwenye kipindi hiki Cha usajili.
Siku zote unapojenga timu upya usitegemee mafanikio ya haraka lazima uwe mvumilivu kwa angalau misimu 3 mpaka 4 ili urudi kwenye ubora wako wa kupigania Mataji, mpira sio Kama ugali kwamba maji yanachemka unasonga hapo hapo unaiva na kula.
Kwenye ujenzi wa kikosi kipya lazima utakuwa na maingizo mengi ivyo Kuna wachezaji wengine wataclick na wengine wataferi kwenye wale uliowasajili Ivyo inakubidi usubili Tena dirisha jingine uwaondoe usajili Tena, hapo muda unaenda.
Pia Kuna suala la muunganiko wa wachezaji kucheza kitimu linachukuaga muda mrefu kukaa sawa ikiwemo kuielewa falsafa ya kocha husika nalo ni tatizo JINGINE.
Kuna suala la kuizoea ligi ya Tanzania kwa baadhi ya wachezaji pamoja na mazingira kwa wachezaji wa kigeni nalo pia ni tatizo.
Ivyo ukijumuisha ayo mambo kadha wa kadha unaona kabisa Simba ni lazima watapitia maumivu makali mpaka waje wakae sawa ivyo ni muhimu wawaandae wanachama wao na mashabiki kisaikolojia wasiwadanganye kwamba msimu huu wanapigania ubingwa ni uongo.
Yanga aliangaika karibu misimu 4 baada ya kuanza project mpya baada ya kufanya mabadiliko makubwa kwenye timu, mpaka wamekuja kujipata imewachukua muda mrefu.
Tuko kuwa tunashuhudia maingizo ya wakina yikpe, molinga, sibomana, na wengine wengi ambao walikuwa ni magarasa lakini ilikuwa ni Mchakato wa kuelekea kwenye ubora.
Kwa maana iyo Ahmed Aly aache kuwaaminisha mashabiki wao vitu ambavyo kiuhalisia ni ngumu kufanikiwa kwa msimu mmoja ama miwili aache kuwa comedy badala ya kuwa msemaji, watakuja kumgeukia na Kuona na yeye ni mamluki Kama wanavyomsema mangungu.
Nawatakieni Kila heri bila kusahau kuwaambia kuwa ligi ya msimu ujao utakuwa ya moto Azam anaitaka nafasi ya pili kushikilia kwa mara nyingine Tena kwa namna wanavyojiimarisha kazi kwenu.
Kwa Sasa hivi wanajinasibu kwamba wanatengeneza Simba mpya lakini hapo hapo wanashindwa kuwaambia ukweli wanachama wao ambao wanayo matarajio makubwa sana na simba kwenye kipindi hiki Cha usajili.
Siku zote unapojenga timu upya usitegemee mafanikio ya haraka lazima uwe mvumilivu kwa angalau misimu 3 mpaka 4 ili urudi kwenye ubora wako wa kupigania Mataji, mpira sio Kama ugali kwamba maji yanachemka unasonga hapo hapo unaiva na kula.
Kwenye ujenzi wa kikosi kipya lazima utakuwa na maingizo mengi ivyo Kuna wachezaji wengine wataclick na wengine wataferi kwenye wale uliowasajili Ivyo inakubidi usubili Tena dirisha jingine uwaondoe usajili Tena, hapo muda unaenda.
Pia Kuna suala la muunganiko wa wachezaji kucheza kitimu linachukuaga muda mrefu kukaa sawa ikiwemo kuielewa falsafa ya kocha husika nalo ni tatizo JINGINE.
Kuna suala la kuizoea ligi ya Tanzania kwa baadhi ya wachezaji pamoja na mazingira kwa wachezaji wa kigeni nalo pia ni tatizo.
Ivyo ukijumuisha ayo mambo kadha wa kadha unaona kabisa Simba ni lazima watapitia maumivu makali mpaka waje wakae sawa ivyo ni muhimu wawaandae wanachama wao na mashabiki kisaikolojia wasiwadanganye kwamba msimu huu wanapigania ubingwa ni uongo.
Yanga aliangaika karibu misimu 4 baada ya kuanza project mpya baada ya kufanya mabadiliko makubwa kwenye timu, mpaka wamekuja kujipata imewachukua muda mrefu.
Tuko kuwa tunashuhudia maingizo ya wakina yikpe, molinga, sibomana, na wengine wengi ambao walikuwa ni magarasa lakini ilikuwa ni Mchakato wa kuelekea kwenye ubora.
Kwa maana iyo Ahmed Aly aache kuwaaminisha mashabiki wao vitu ambavyo kiuhalisia ni ngumu kufanikiwa kwa msimu mmoja ama miwili aache kuwa comedy badala ya kuwa msemaji, watakuja kumgeukia na Kuona na yeye ni mamluki Kama wanavyomsema mangungu.
Nawatakieni Kila heri bila kusahau kuwaambia kuwa ligi ya msimu ujao utakuwa ya moto Azam anaitaka nafasi ya pili kushikilia kwa mara nyingine Tena kwa namna wanavyojiimarisha kazi kwenu.