Simba na hii leta mzungu yao imekuwa kero sasa

Simba na hii leta mzungu yao imekuwa kero sasa

Facebook imeanzishwa 2OO4 ulaya ila kutufikia sisi huku ilikuwa ni past 2OO7 hivi huyo mtu anaizungumzia kama kitu cha enzi hizo dah [emoji23][emoji23][emoji23]!

Nakumbuka 2004 hadi 2OO6 watu walikuwa wanahangaika na Mig 33 [emoji23][emoji23][emoji23] kwenye nokia zetu pendwa.

Baada ya ios na android kuingia mainstream ndio facebook na whatsapp zikajizolea umaarufu. iOS ilizinduliwa 2007 na android 2008. Blackberry alikuwa moto sana 2010-2012 na BBM yake kabla hajafa kibudu 2022[emoji23]
Hapo pa BlackBerry umenikumbusha mbali sana.Wakati huo zinauzwa aghali na kwa mara ya kwanza napewa ofisini nilikuwa nikipokea simu mbele za watu wananiona wa maana sana maana natumia simu pendwa aliyokuwa akitumia pia Barack Obama kumbe ilikuwa kwa hisani ya Boss Kaburu .Huwa sielewi ilikuwaje soko lake likafa gafla kiasi kile.
 
2009, 2010 blackberry bold then tulikuwa na nokia 6070 ina infrared tunaunganisha na desktop chogo tuna surf kwa desktop
Bila kusahau Nokia N Series nadhani zile zilikuwa enzi za 2006-2008
 
Hapo pa BlackBerry umenikumbusha mbali sana.Wakati huo zinauzwa aghali na kwa mara ya kwanza napewa ofisini nilikuwa nikipokea simu mbele za watu wananiona wa maana sana maana natumia simu pendwa aliyokuwa akitumia pia Barack Obama kumbe ilikuwa kwa hisani ya Boss Kaburu .Huwa sielewi ilikuwaje soko lake likafa gafla kiasi kile.
Hahah blackberry was the iphone of its era
 
Bado unaendeleza mauongo yako?
99% ya Watanzania wameanza kujiunga na Facebook kuanzia 2008 na tena ni wachache sana waliojiunga wakati huo account zao bado zipo active kwa sababu walikuwa wakitumia simu za BlackBerry.

Labda utuambie hiyo miaka 2000's specifically unamaanisha mwaka gani maana globally imeanza kutumika 2007
Wewe ndiyo unajaribu kufanya mambo kuwa magumu pasipo sababu za msingi.Mtu kasema in 2000's,hiyo 2007 si inaangukia kwenye hilo fungu la 2000's.Lakini pia unajuaje pengine mdau anaishi zake US so si ajabu akawa ametumia FB huko mwanzoni,maana hapa hatujuani in real life zaidi kukutana katika comments.
 
Acha kabisa,unatamani upigiwe mbele za watu upokee waone una Black Berry [emoji3][emoji3]
Nilikuwa naitamani ila sikuwahi kuimiliki ila kupitia watu walio nayo ilikuwa ni simu ngumu sana kutumia, imekaa kushoto kushoto ki software
 
Nilikuwa naitamani ila sikuwahi kuimiliki ila kupitia watu walio nayo ilikuwa ni simu ngumu sana kutumia, imekaa kushoto kushoto ki software
Ile simu ilikuwa inafaa zaidi kwa matumizi ya ki ofisi ndiyo unaifaidi.Maana ilikuwa rahisi sana sharing ya documents kupitia e mails na unaweza kufungua attachment na ukajibu papo kwa papo.Nakumbuka sisi walizitoa hizo simu chache watu wa Vodacom bure na simu za kawaida kwa wafanyakazi wote kwa deal la kupata mkataba wa kuhudumia kampuni kwa miaka mitatu na wakawatoa Airtel kipindi hicho wanaitwa Zein
 
Ile simu ilikuwa inafaa zaidi kwa matumizi ya ki ofisi ndiyo unaifaidi.Maana ilikuwa rahisi sana sharing ya documents kupitia e mails na unaweza kufungua attachment na ukajibu papo kwa papo.Nakumbuka sisi walizitoa hizo simu chache watu wa Vodacom bure na simu za kawaida kwa wafanyakazi wote kwa deal la kupata mkataba wa kuhudumia kampuni kwa miaka mitatu na wakawatoa Airtel kipindi hicho wanaitwa Zein
Huenda labda
 
Facebook imeanzishwa 2OO4 ulaya ila kutufikia sisi huku ilikuwa ni past 2OO7 hivi huyo mtu anaizungumzia kama kitu cha enzi hizo dah 😂😂😂!

Nakumbuka 2004 hadi 2OO6 watu walikuwa wanahangaika na Mig 33 😂😂😂 kwenye nokia zetu pendwa.

Baada ya ios na android kuingia mainstream ndio facebook na whatsapp zikajizolea umaarufu. iOS ilizinduliwa 2007 na android 2008. Blackberry alikuwa moto sana 2010-2012 na BBM yake kabla hajafa kibudu 2022😂
Bbm ilinipatia demu mitaa ya sinza,siku ya kuonana pale madukani nikajipa zoezi nimuone kwanza kunijua,aisee 😀 mbona nilisepa kimya kimya!
 
Mkuu mbona una panick hivyo jamaa kasema alitumia 2000's hata leo ni 2000's babu
Facebook imeanzishwa 2OO4 ulaya ila kutufikia sisi huku ilikuwa ni past 2OO7 hivi huyo mtu anaizungumzia kama kitu cha enzi hizo dah [emoji23][emoji23][emoji23]!

Nakumbuka 2004 hadi 2OO6 watu walikuwa wanahangaika na Mig 33 [emoji23][emoji23][emoji23] kwenye nokia zetu pendwa.

Baada ya ios na android kuingia mainstream ndio facebook na whatsapp zikajizolea umaarufu. iOS ilizinduliwa 2007 na android 2008. Blackberry alikuwa moto sana 2010-2012 na BBM yake kabla hajafa kibudu 2022[emoji23]
 
Wewe ndiyo unajaribu kufanya mambo kuwa magumu pasipo sababu za msingi.Mtu kasema in 2000's,hiyo 2007 si inaangukia kwenye hilo fungu la 2000's.Lakini pia unajuaje pengine mdau anaishi zake US so si ajabu akawa ametumia FB huko mwanzoni,maana hapa hatujuani in real life zaidi kukutana katika comments.
Itakuwa wengi humu hawaelewi maana ya hiyo 2000's
 
Mashabiki wa simba wana promote jina la mzungu mpaka mimi mwenyewe sasa naona aibu leo nilikuwa zangu FB na soma zangu comment za Wakenya kuhusu uchaguzi wao cha ajabu si nikakutana na comment ya mwana simba eti leta mzungu.

Nikacheki kwanza kichwa cha abari na alicho comment yule jamaa nikashangaa saana ila mwishowe Nikasema wapo kazini!

Cha kuwambia wana simba msiwe na hofu kama dejan ana nyota basi na amini kadiri siku zitakavyo zidi kwenda na ndivyo brand ya leta mzungu itazidi kuwa kubwa.

Ila tabia zetu ninyi za kutaka kujibrand mgongoni kwa wengine acheni.

Mbona mayele wa yanga yeye hakujibrand hivo mnavyo jibrandi kila sehemu watu wanaongeya mambo ya maana una andika leta mzungu
FagV0uJWIAIkYnX.jpeg

Nyeeee nyeeeee nyeeeee nywiii
 
Back
Top Bottom