Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Klabu ya Simba imemfuta kazi Kocha Mkuu, Patrick Aussems. Uamuzi huo umefikiwa na bodi ya klabu hiyo baada ya kikao chake.Uchebe amethibitisha kupitia ukurasa wake wa Twitter
Pia,Mbeya city kupitia account zao za social media wameweka barua ya kuachana na Mwambusi.
Pia,Mbeya city kupitia account zao za social media wameweka barua ya kuachana na Mwambusi.