Simba na ushindi tata

Simba na ushindi tata

ibanezafrica

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,261
Reaction score
6,553
Imekua kawaida sasa simba hii ya sasa yaani msimu huu kuwa na wakati mgumu kuliko pengine wakati wowote ndani ya miaka mitatu iliyopita.

Simba sasa imekua inashindwa kutengeneza chance za kufunga. Mastraika hawafungi, timu imedorora.

Uwezo wa Simba tuliouzoea haupo tena. Simba ya sasa ushindi wake umekua wa mashaka mno.

Ili simba ishinde haitegemei tena uwezo wa mpira ndani ya uwanja bali hutegemea na kuomba itokee penati au red card, au ndio kama hivyo refa awabebe kwa hizi offside. Ule ushindi wa kihalali kama ilivyo kwa jirani zao Yanga haupo kabisa.

Simba jipangeni tumieni pesa fanyeni sajiri za maana.

Nimewasaidia tu mawazo ni mimi shabiki wa Azam FC.
 
Tena haya yanafanyika katika uwanja mkubwa na wa kisasa. Tunaambiwa gari limesha Waka Ila chakushangaza bila Marefa kulisukuma haliendi.
 
Imekua kawaida sasa simba hii ya sasa yaani msimu huu kuwa na wakati mgumu kuliko pengine wakati wowote ndani ya miaka mitatu iliyopita.

Simba sasa imekua inashindwa kutengeneza chance za kufunga. Mastraika hawafungi, timu imedorora.

Uwezo wa Simba tuliouzoea haupo tena. Simba ya sasa ushindi wake umekua wa mashaka mno.

Ili simba ishinde haitegemei tena uwezo wa mpira ndani ya uwanja bali hutegemea na kuomba itokee penati au red card, au ndio kama hivyo refa awabebe kwa hizi offside. Ule ushindi wa kihalali kama ilivyo kwa jirani zao Yanga haupo kabisa.

Simba jipangeni tumieni pesa fanyeni sajiri za maana.

Nimewasaidia tu mawazo ni mimi shabiki wa Azam FC.
Mwaka huu wanachukua tena Miamala FC wazee wa Viporo.
 
Simba imeshuka sana kiuwezo hawataki tuu kukubali, miaka 3 au 4 nyuma game kama ile angeshinda goli 4 au 5, hawataki kukubali ila timu imeshuka ubora
 
tukukuru ipo, pcb ipo, tff ipo, bmt ipo, bodi za ligi zipo, waziri mwenye dhamana na michzo yupo….. alafu wajinga flani wanaharibu soka letu live kabisa tena kwa 'mkapa' uwanja wa taifa
 
tukukuru ipo, pcb ipo, tff ipo, bmt ipo, bodi za ligi zipo, waziri mwenye dhamana na michzo yupo….. alafu wajinga flani wanaharibu soka letu live kabisa tena kwa 'mkapa' uwanja wa taifa
Kama wajinga walioharibu kule Ruangwa
 
Back
Top Bottom