Simba na viongozi Morrison mmekosea sana kumfukuza mrudishen game ya CCM Kirumba

Simba na viongozi Morrison mmekosea sana kumfukuza mrudishen game ya CCM Kirumba

Riz king

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2018
Posts
276
Reaction score
549
Nimeona uchezaji wa mawinga wa simba leo sio stubborn hata kidogo kwa game tough. Morrison katusaidia sana kuleta mivurugano kwa mabeki kwenye game za namna hii.

Nawaombeni viongozi wetu tumrudishe dhidi ya Yanga ili mabeki wake wasikae na utulivu na ukizingatia Kirumba pitch yake sio smooth kiasi hcho. Chonde chonde tusijifanye vichwa ngumu nawaombeni sana mumrejeshe Benard baada ya gem ndo mumfukuze
 
274806316_3120380921564310_8510181759731295280_n.jpg
 
Simba imezeeka inawezekana tukapigwa na utopolo, maana sio kwa pila hili
 
Nimeona uchezaji wa mawinga wa simba leo sio stubborn hata kidogo kwa game tough. Morrison katusaidia sana kuleta mivurugano kwa mabeki kwenye game za namna hii. Nawaombeni viongozi wetu tumrudishe dhidi ya Yanga ili mabeki wake wasikae na utulivu na ukizingatia Kirumba pitch yake sio smooth kiasi hcho. Chonde chonde tusijifanye vichwa ngumu nawaombeni sana mumrejeshe Benard baada ya gem ndo mumfukuze
Mwaka huu mtatpika nywele
 
Huwezi kuwa STAR kumzidi kocha!! Jaribu kwa Sir Alex Furgurson uone kitakachokutokea!! Mpigie David Beckham yaliyomkuta!!
 
Huwezi kuwa STAR kumzidi kocha!! Jaribu kwa Sir Alex Furgurson uone kitakachokutokea!! Mpigie David Beckham yaliyomkuta!!
Hapa sio uzunguni babu!
Na kocha hawezi kuwa mkubwa kuliko mashabiki.Ni upuuzi sana kutowajua wana na tabia zao.
Ninawachukia sana viongozi wa Simba kwa maamuzi yale
 
Hakuna Simba Wala Yanga mbovu likija swala la dabi ya kariakoo. Labda mashabiki watoto ndiyo hawajui hili.

Simba hii itatupa matokeo Tena ya kushangaza.

Nashangaa watu mnalialia kitoto humu.

Simba 💪,one team one dream. Ni nyakati tu na huwa zinapita.
 
Back
Top Bottom