allesandro 2021
Senior Member
- Feb 10, 2021
- 142
- 156
Mayele mnamkuza tu ila hamna kitu pale, jamaa ni mtupu na mbahatishaji
Halafu na nyie tabia ya kuwapa sifa za kindezi wachezaji wanaoifunga simba sijui mtaacha lini, balama mapinduzi yuko wapi saizi?
Haya upepo wa mayele umeshakata mna jiandaaje na mechi ya marudiano, mtakua na mchezaji gani wakututambia?
Upepo wa mayele umekata now hatusikii tambo kama ambavyo mlivyokua mnampaishaUpepo wa Mayele umekata kivipi mkuu?
Balama ni majeruhi,unafahamu hilo
Wako kikabwili sanasikukusudia kukudhuru mkuu km ambavyo sijakuomba usome.
Utopolo mna kiherehere sana
Yanga wamesajili wazee wa msimu mmoja simba tumesajili vijana wa miaka mitano mbele kuna mwaka hapo mbele yanga atakuja kufa tano tena.....Simba hatushangilii Bali tunawacheka na kuwabeza.
Yanga mliingia na matokeo mfukoni na mkawa mmejaza ujinga kichwani kuwa Simba ni dhaifu mnaenda kushinda kilaini tena goli nyingi.
Mkajikuta mnaomba mechi iishe na dakika chache zilipoongezwa mlifurahi. Diarra alifikia hata kupoteza muda.
Yanga pumzi yenu Ni dakika 30 tu. Ndiyo maana kipindi cha pili mliingia kuzuia msifungwe, mliiheshimu Simba.NABI mwenyewe kakiri hilo.
Kabla ya mechi kila shabiki wa Yanga niliyekutana naye utasikia subiri tarehe 11.Mlijilisha upepo na kujazana ujinga mwingi.
Sisi tunawacheka, tunawatazama jinsi kwasasa msivyo na cha kuongea.
NB:Mayele ni straika wa msimu huu tu msimu ujao yule Ni garasa. Na hatawapa kile mlichotarajia.
watu wa kigoma likianzishwa kombe la dunia la ubishi mtalibeba asubuhi kabsa Hilo kombeSimba waliingia uwanjani wakijua watafungwa, kwanini nasema hivi.
1. Wanasema sana na kushangilia kana kwamba wameshinda mechi.
2. Inonga kutamba kumdhiti Mayele,ni dalili ya wazi walikuwa wanamuhofia sana(mayele anatisha)
Kama simba wangekuwa bora kuliko yanga wangeshinda mchezo.
Wote ni bora,sasa simba wamekuwa na maneno mengiiii kana kwamba wameshinda mechi,hii inaonesha waliingia kwa hofu ya kupoteza mchezo
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app