Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hakuna haja ya kuleta ujinga kama huu uwanjani, jana Taifa Stars imedundwa na wananchi wameshangilia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wananchi wako wapi?Nyinyi na vikundi mnaotumia smartphone ambao hata milioni kumi hamfiki mnajipa utanzania sana,bakini na akili yenu ,tunawaangalia Kwa ukaribu na kurukaruka Kwa maharage ndio kuiva kwake.Hakuna haja ya kuleta ujinga kama huu uwanjani, jana Taifa Stars imedundwa na wananchi wameshangilia.
View attachment 2821455View attachment 2821457
Kwa Mujibu wa Nape Nnauye watumiaji wa Smartphone Tanzania ni mil 33 , kumbuka kwamba wanachama wa ccm hawazidi mil 8 , endelea kudharau mitandaoWananchi wako wapi?Nyinyi na vikundi mnaotumia smartphone ambao hata milioni kumi hamfiki mnajipa utanzania sana,bakini na akili yenu ,tunawaangalia Kwa ukaribu na kurukaruka Kwa maharage ndio kuiva kwake.
Ni aibu sanaHizi ni akili za Nape Nnauye na vilaza wengine.
Watumiaji WA laini za simu sio smartphone,smartphone milioni 30 Kwa taifa lenye watu milioni 60 ,watoto wapo robo ya taifa .Kwa Mujibu wa Nape Nnauye watumiaji wa Smartphone Tanzania ni mil 33 , kumbuka kwamba wanachama wa ccm hawazidi mil 8 , endelea kudharau mitandao
Sisi furaha yetu ni Morocco kuyanyoosha maccmWatumiaji WA laini za simu sio smartphone,smartphone milioni 30 Kwa taifa lenye watu milioni 60 ,watoto wapo robo ya taifa .
Hao wajinga wanatakiwa kuacha huu ujinganwaoa mara moja. Maana siyo kila mdau wa michezo anapenda kuona ujinga kama huo uwanjani.Hakuna haja ya kuleta ujinga kama huu uwanjani, jana Taifa Stars imedundwa na wananchi wameshangilia.
View attachment 2821455View attachment 2821457
Umasikini umefanya vijana kutumika hovyo sanaHao wajinga wanatakiwa kuacha huu ujinganwaoa mara moja. Maana siyo kila mdau wa michezo anapenda kuona ujinga kama huo uwanjani.
Wakiendeleza huu ujinga wao, siku za baadaye watasababisha wadau wengi wa michezo kususia timu zao, kutozifuatilia timu zao wanazo shabikia, au kujenga chuki na timu yoyote ile yenye mafungamano na wanasiasa.
Msirushie lawama vijana tu hata wazee wengi tunaona wanafanya mambo ya kipumbavu mfano Kabudi, Lipumba n.kUmasikini umefanya vijana kutumika hovyo sana