Simba na Yanga ndio vinara wa kufuatiliwa mitandaoni kulingana na mtandao wa X

Simba na Yanga ndio vinara wa kufuatiliwa mitandaoni kulingana na mtandao wa X

Kilimbatz

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
4,331
Reaction score
5,865
Baada ya tu kupangwa Kwa makundi ya CAF CL kuna kitu Cha kushangaza kulitokea katika matandao wa X

Ukiingia katika ukurasa rasimi wa CAF wa mtandao wa X,katika makundi yote yaliyopostiwa,ni makundi mawili tu yanayoshiriki klabu bingwaa Afrika ndiyo yaliyoongoza Kwa kutoa namba kubwa ya online engagements

Makundi hayo ni Kundi B n D

Simba yupo kundi B na huku Yanga akiwa kundi D

Kundi B lina replies 276,retweets 622,likes 5090 na views 183k
Kundi D lina replies 410,retweets 684,likes 4323 na views 205k

Kundi A lina replies 63,retweets 266,likes 1992, na views 90.7k na kundi linaloburuza mkia ni Kundi C ambaye ana:

Kundi C lina replies 30,retweets 111,likes 896 na views 48.8k

Simba na Yanga ndo wanaoisisimua hii michuano,no Simba and Yanga no party

Na kilichobaki tugeuze hizi namba ziwe ndo matokeo ya uwanjani

Screenshot_20231007-071654~2.png
Screenshot_20231007-071610~2.png
iwapo mmoja wetu akatoka kabla ya kufika fainali,michuano hii itadoda,

Hata CAF wanajua Hilo,hawataki tutoke,hivyo tupambane wote tufike mbali

It is coming home.
 
Naomba wote tufiki robo ila Yanga aende mbele zaidi na kolo kama kawa aishie robo.
 
Katika hayo makundi kuna timu kubwa pia kuna Al ahly na kuna Wydad zilizo cheza fainali msimu uliopita

Msisahau kuzipa heshima yake pia
 
UTOTO RAHA SANA.

mashabiki WAPUMBAVU na MBUMBUMBU hawana akili kabisa.

Wamejazana Mitandaoni
Wangetumia NGUVU ya Mitandao positive.

TIMU ZAO HAZINA VIWANJA HADI LEO WANAACHA KUSHINIKIZA VIONGOZI UJENZI WA VIWANJA VIKUBWA VYA KISASA , ACADEMY, SHULE ZA MICHEZO, MADUKA NK.


Wamejazana mitandaoni KUBISHANA UPUMBAVU.
 
UTOTO RAHA SANA.

mashabiki WAPUMBAVU na MBUMBUMBU hawana akili kabisa.

Wamejazana Mitandaoni
Wangetumia NGUVU ya Mitandao positive.

TIMU ZAO HAZINA VIWANJA HADI LEO WANAACHA KUSHINIKIZA VIONGOZI UJENZI WA VIWANJA VIKUBWA VYA KISASA , ACADEMY, SHULE ZA MICHEZO, MADUKA NK.


Wamejazana mitandaoni KUBISHANA UPUMBAVU.
Swala la viwanja ni mtambuka,vinaweza kujengwa muda wote ni nia tu ikiwepo
 
Katika hayo makundi kuna timu kubwa pia kuna Al ahly na kuna Wydad zilizo cheza fainali msimu uliopita

Msisahau kuzipa heshima yake pia
Heshima tushawapa
 
Simba na Yanga ndio zinayapa haya mashindano uhai kwa kiasi kikubwa.... mashindano haya ni kama yalikuwa ni ya nchi za kiarabu pekee, maana ndio zenye mashabiki wenye vibe na ndio zinazofanya vizuri, kasoro TP Mazembe ambayo imekuja kupotea

Simba kaja kurudisha uhai wa mashindano haya kwa ukanda wa Sub Sahara Africa,
Mamelodi wanafanya vizuri lakini hawana mashabiki, mashabiki ndiyo uhai wa mashindano
 
UTOTO RAHA SANA.

mashabiki WAPUMBAVU na MBUMBUMBU hawana akili kabisa.

Wamejazana Mitandaoni
Wangetumia NGUVU ya Mitandao positive.

TIMU ZAO HAZINA VIWANJA HADI LEO WANAACHA KUSHINIKIZA VIONGOZI UJENZI WA VIWANJA VIKUBWA VYA KISASA , ACADEMY, SHULE ZA MICHEZO, MADUKA NK.


Wamejazana mitandaoni KUBISHANA UPUMBAVU.
Wakionyesha consistency kwenye mashindano ya CAF, nadhani viwanja watajenga kutokana na mapato mazuri.... safari ni hatua
 
Back
Top Bottom