Simba na Yanga: Tabiri mchezaji yoyote unayehisi atafunga Goli leo

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Leo 12/07/2020 ni ile mechi inayosubiriwa kwa hamu, mechi ya nusu fainali ya kombe la shirikisho, ambapo watani wa jadi wa Kariakoo, Simba Vs Yanga wanakutana katika mechi ngumu ya kumtafuta nani ataingia fainali.

Mimi naamini mechi hii itaisha ndani ya dakika 90, pia naamini kutakuwa na magoli ya kutosha.

Karibu tutatbiri, wachezaji gani leo watafunga magoli katika mechi hii, ili tuone nani ana bahati ya kuotea zaidi.

Mimi naamini kabisa John Bocco na Kahata watafunga leo kwa upande wa Simba wakati Lamine Moro na Kaseke nao watafunga kwa upande wa Yanga.

Karibu ulete ubashiri wako...
 
wanasimba ambao ni waislam wasiache kusoma suratul iklas mara 3,itasaidia kushindana na mambo ya kishirikina
Shadeeya
mtasoma na kujikuta mmetengua dawa zenu mpigwe kama nyau mwizi

vp lakini hiki kisomo haki athiri zile dawa za kuchosha mnazo pulizia vyumbani ama ule ni uchawi wa kizungu.
 
Luis [emoji460]️
Bocco[emoji460]️
Kagere[emoji460]️
Matokeo ni 3-0
kwamba watajifunga ama

maana nyau hana uwezo huo
unamjua
-erick kabamba
-morison
-ngassa
-kasseke
-sibomana
-lamine

leo unakufa 2-0 goli la kaseke na morison
 
Mkuu nye hamna timu ni genge la wahuni,leo msipigane tu uwanjani
kwamba watajifunga ama

maana nyau hana uwezo huo
unamjua
-erick kabamba
-morison
-ngassa
-kasseke
-sibomana
-lamine

leo unakufa 2-0 goli la kaseke na morison
 
Mkude, luis, bocco, chama 4-0
kuna uyoga ukikanyaga akili inapotea unajikuta unaenda kusiko julikana

naomba niseme wazi, umekanyaga uyoga. huna timu hata ya kugongesha mwamba mkuu leo unakufa 2-0
 
kwisha habari yenu hili garasa litingishe nyavu ya metacha hahahaha haiwezekeni mkuu kagere ndo kwisha habari yake tangu apokonywe hirizi mambo yanaenda ndivyo sivyo
Usije tu baadae ukakana comment yako kwani John boko amewafunga Nyie Mara ngapi mpaka useme hivyo?
 
Nawashauri utopolo waandae lub ya kutosha mana MK14 lazima awasugue na show watafurahia tu! 😂
mkuu uache utani kwenye mambo ya msingi hili garasa lina mechi 8 halizijui nyavu leo mbele ya mabingwa wa kihistoria ndo ulitegemee utakufa kwa kihoro
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…