Simba na Yanga wawaombe radhi Wazanzibari

Ndio mjifunze kupenda na timu zingine pia, sio hizo mbili tuu
 
Shida ni pesa ndio maana Simba na Yanga zimejitoa,gharama wanazotumia ni nyingi kuliko watakachopata.
 
[emoji1787][emoji1787] hii nchi ina mashabiki wajinga sana, yaani yanga ilipe watu kuwavunja wachezaji wa simba![emoji849]
 
Unathibitishaje kama hawashiriki wakati wameingiza timu uwanjani na wachezaji waliocheza niwa timu husika?.Au simba na yanga hazitakiwi kufungwa?
 
Shida ni pesa ndio maana Simba na Yanga zimejitoa,gharama wanazotumia ni nyingi kuliko watakachopata.
Mi nilidhani timu zinagharamiwa na waandaaji wa mashindano
 
Wazanzibar msitulazimishie muungano kupitia mapinduzi cup. Chezeni wenyewe na hako ka nchi kenu kabaguzi. Si mnasemaga ndugu zenu wako Oman na Qatar. Go for them.
Kwanza zawadi yenyewe ni 20+m....ongezeni dau angalau 100+m mpira uchezwe. Sio wachezaji wetu waumie kuwafurahisha wanasiasa.
Kombe lenyewe lina mkosi hilo.
 
Ni siasa tu,lakini ilitakiwa ziende timu ndogo ndogo nao wapate platform ya kuonesha vipaji vya wachezaji..na ingezoeleka hivyo na wala kusingekua na maneno.
Dawa ya muungano ni Tanzania tuwe na ligi moja TU sio hii akadalbla tunayoifanya.
 
Hawa walijitoa wenyewe kwenye ligi kuu Sasa wanataka ligi kuu kwa njia za ujanja ujanja. Ama kweli watu wa Bara ni mazuzu kwelikweli
 
Aliondoka baada ya kushindwa kuibadilisha hali, timu imejaa wanasiasa wengi. Ndio maana akabwaga manyanga, na hizo ndizo sifa za kiongozi mahiri.
 
Aliondoka baada ya kushindwa kuibadilisha hali, timu imejaa wanasiasa wengi. Ndio maana akabwaga manyanga, na hizo ndizo sifa za kiongozi mahiri.
Ndo akae kimya sasa, kuweka wazi masuala nyeti ya waajiri wako wa zamani iyo sio proffesionalism
 
Ndo akae kimya sasa, kuweka wazi masuala nyeti ya waajiri wako wa zamani iyo sio proffesionalism
Hii ni tiba ya tatizo. Watu walikuwa wakimlazimisha aseme ni kwanini amebwaga manyanga ghafla. Alificha lakini mwisho alisema kuwa mpira wa Tanzania umechanganyika na saisa sana, mwanzo nilimshangaa lakini baada ya kuona abramovic amenyang,'anywa timu ya Chelsea kwa sababu za kisiasa nikaona kumbe kwenye mpira kuna siasa pia duniani kote.
 
Shida ni pesa ndio maana Simba na Yanga zimejitoa,gharama wanazotumia ni nyingi kuliko watakachopata.
Mpira ni pesa sasa hivi, timu siku hizi zinamiliki vikosi ngali sana kulipa mishahara, signing fee na bonus, kulisha, kusafirisha, kutibu na kuvipatia mahali pa kuishi. Tuondoe siasa siasa na mabonanza kwenye timu zetu hizi. kama mashindano ya mapinduzi ni muhimu lazima mzigo uwekwe pale. Mfano, baadhi ya wadhamini wa mashindano ya mapinduzi walikuwa chuo cha afya kinaitwa City College of Health and Allied Sciences. Chuo kama hiki kutangazwa na kupatiwa milege na timu za Yanga, Simba, Azam na Singida Big Stars kilitakiwa kulipa hela nyingi sana ili kupata nafasi hiyo. Lakini inawezekana imetoa milioni 10 tu kujitangaza kupitia mashindindano yale, NIC na wengine vilevile. Huku ni kuzibaka timu kubwa kama Simba na Yanga. Kama mshindi wa kwanza wa mashindano anapewa 30 m je aliyeshika nafasi ya 6 kalipwa sh ngapi? je, ghrama za timu zimelipwa na nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…